Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa aitesa CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeunda timu ya kuwachunguza makada wake wanaodaiwa kutangaza nia ya kuwania uongozi kabla ya wakati, na wanaomwaga fedha kwa wajumbe wa mkutano mkuu ili kuwashawishi wawaunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Henry Joseph aitesa Simba

Henry Joseph.
Na Hans Mloli
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amesema ni pengo kubwa kwa Henry Joseph kukosekana kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea huko Zanzibar. Henry hakuweza kuungana na timu hiyo iliyoondoka wiki iliyopita kuelekea visiwani humo huku ofisa habari wa klabu hiyo, Stanley Phillip, akibainisha kuwa, matatizo ya kifamilia ndiyo yaliyomzuia kiungo huyo kujiunga na Wekundu hao....

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

9 years ago

TheCitizen

CCM : Task Lowassa

The ruling party, CCM, has called on the National Electoral Commission (NEC) to act on the Ukawa coalition-backed Chadema presidential candidate, Mr Edward Lowassa, alleged religious comments.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yamjia juu Lowassa

CCM imesema kauli ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa wafadhili wa Chadema wananyanyaswa, ina lengo la kuichonganisha Serikali na walipa kodi na kumtaka ataje waliofanyiwa vitendo hivyo.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM Zanzibar ‘wamteta’ Lowassa

Chama cha Mapinduzi (CCM) visiwani hapa jana kilifanya mkutano na waandishi wa habari kwa ajili ya kutoa tamko la kurasa nane kuzungumzia msimamo wake dhidi ya uamuzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kujivua uanachama, kikisema kuwa hakipo pamoja naye.

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa na wenzake: CCM imejitakia

MAKALA yangu ya mwisho ilieleza kirefu kidogo kuhusu michakato ndani ya chama-tawala, jinsi ambav

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM haiwezi kumcheka Lowassa

HAYATI baba wa Taifa, Julius Nyerere, alijitoa muhanga ili kupigania uhuru kutoka kwa wakoloni wa Uingereza waliokuwa wakitawala Tanganyika. Nyerere aliamua kuiacha kazi yake ya ualimu iliyokuwa ikimpatia mshahara na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yawafunga Lowassa, Membe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemfunga Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na makada wenzake watano kwa kuwapa onyo kali na kuzuiwa kugombea uongozi wowote ndani ya chama kwa muda wa mwaka...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yamuonya tena Lowassa

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape NnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema vitendo vinavyofanywa na Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ni ukiukwaji wa Katiba na kanuni za chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani