CCM yamjia juu Lowassa
CCM imesema kauli ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa wafadhili wa Chadema wananyanyaswa, ina lengo la kuichonganisha Serikali na walipa kodi na kumtaka ataje waliofanyiwa vitendo hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0011.jpg)
NHC ILIVYOIBEBA JUU KWA JUU ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWENYE SEKTA YA NYUMBA
![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200603-WA0011.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vMD6kV8lvdg/XuHDHoKb0AI/AAAAAAACM78/DhEGE66AshUO8Q_RVZlkQvir3hqoAnFqgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200602-WA0049.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) ni moja ya mashirika ambayo ni nguzo ya Serikali ya Awamu ya Tano katika uteketezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inayoliongoza taifa kuelekea kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Mwandishi maalum ambaye amekuwa akimulika mwenendo wa utendaji wa taasisi na mashirika ya umma, amefanya...
9 years ago
Vijimambo07 Sep
LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2860850/highRes/1112336/-/maxw/600/-/r63lu6z/-/lowasa_akilini.jpg)
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...
11 years ago
MichuziMh. Lowassa akagua maandalizi ya Sokoine day Monduli Juu
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
9 years ago
Vijimambo19 Sep
SERA YA LOWASSA ELIMU YA JUU BURE ‪#‎HAIWEZEKANI‬ KWA SASA
![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-0/s526x395/12038345_611681675636375_2700435521837011316_n.jpg?oh=551b0a75a88c1b11dd091f93a19e82c8&oe=56A1A2B5&__gda__=1449801116_86d06f5e820c2afd18d8c1a6f4c9bc6c)
HOJA ya UKAWA: ELIMU Bure mpaka chuo kikuu! Tanzania ina Vyuo vikuu 54. Tusidanganyike kama Watoto wadogo haiwezekani hata kidogo!!TAFAKARI: tutathmini tu watu wa Shahada ya kwanza! Mwaka 2014/2015 TCU inatarajia kudahili wanafunzi 48, 000.Kwa mwanafunzi mmoja chuo kikuu fani ya Sayansi ya asili (Natural Science) kwa mwaka mmoja anahitaji kiasi kisichopungua Tshs 5,500, 000 (tuition fees, stationary, meal and accommodation, field, Equipments n. k).
Kwa mwaka huu 2014/2015 TCU kwa sayansi...
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Lowassa atajwa tena, Kada mkongwe atoa ya moyoni juu ya kifungo chake.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-14April2015.jpg)
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kutafakari jinsi kitakavyompata mgombea wake atakayepeperusha bendera ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho mkoa wa Arusha, Yona Merisho Nnko (74), ametoa ya moyoni akisema adhabu iliyotolewa na chama chao kwa makada sita kwa madai ya kuanza mapema kampeni za urais, inamlenga zaidi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Nnko akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4Grnjdn8PIQ/VYcIqJ15KuI/AAAAAAAHiM0/mziCeG7vBXk/s72-c/MMGL0834.jpg)
LOWASSA AZIDI KUPATA MAPOKEZI MAKUBWA KILA ANAKOKWENDA, SONGEA ALAZIMIKA KUKAA JUU YA PAA LA NYUMBA
Lowassa ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa shukrani baada ya kudhaminini na wanaCCM zaidi ya elfu 52.
"Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu,...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Presha juu CCM
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Urais roho juu CCM, Ukawa
Patricia Kimelemeta na Aziza Masoud, Dar es Salaam
JOTO la kuwatangaza wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupanda huku kila upande ukimvizia mwenzake aanze kutangaza mgombea wake.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa Ukawa katika mkutano wao na wanahabari kueleza mgombea wao atatangazwa Machi mwaka huu, lakini hadi sasa imepita miezi miwili bila kujulikana.
Wakati hayo yakiendelea ndani ya Ukawa, CCM...