Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa atajwa tena, Kada mkongwe atoa ya moyoni juu ya kifungo chake.

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kutafakari jinsi kitakavyompata mgombea wake atakayepeperusha bendera ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho mkoa wa Arusha, Yona Merisho Nnko (74), ametoa ya moyoni akisema adhabu iliyotolewa na chama chao kwa makada sita kwa madai ya kuanza mapema kampeni za urais, inamlenga zaidi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Nnko akizungumza na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bi. Hania atoa ya moyoni

MKALI wa filamu za Kibongo, Halima Issa ‘Bi Hania’, ameelezea kukerwa na kukithiri kwa tabia ya baadhi ya viongozi wa makundi ya sanaa kuendekeza vitendo vya ngono kwa wasanii wa...

 

10 years ago

Habarileo

Ndugai atoa ya moyoni

MBUNGE wa Kongwa anayetetea nafasi yake, Job Ndugai amesema kumekuwa na njama za kumchafua ili kumharibia sifa yake kwani baadhi ya waliojitokeza kuwania ubunge katika jimbo hilo ni mapandikizi na wako kwa nia ya kufanya fujo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto atoa ya moyoni

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakaporejea Agosti 5, wapitishe rasimu ya pili ya katiba kama njia ya kumuenzi mama yake Shida...

 

9 years ago

Global Publishers

Diamond atajwa tena tuzo 3

DIAMOND (5)Diamond Platnumz

MWAKA ameufungua vizuri staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya kutajwa kuwania tuzo tatu za Trends Loaded Music, Too Exclusive pamoja na Hipipo Music.

Katika Tuzo za Hipipo Music ambazo hutolewa nchini Uganda na Nigeria, Diamond amefanikiwa kuingia katika vipengele vitatu ambavyo ni East African Super Hit, East african Best Video pamoja na Best African Artist of the Year.

Kwa upande wa Tuzo za Xclusive Music, Diamond ameingia katika kipengele kimoja cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyepigwa risasi atoa ya moyoni

Askari Magereza wa kike aliyejeruhiwa kwa risasi baada ya basi la jeshi hilo kushambuliwa kwa risasi na majambazi, amesema hakuhisi mpenyo wa risasi katika titi lake la kushoto mpaka alipokaguliwa na askari mwenzake.

 

11 years ago

Mwananchi

JK atoa ya moyoni mchakato wa Katiba

Rais Jakaya Kikwete amewataka wajumbe watakaopata fursa ya kuingia kwenye Bunge la Katiba kuweka mbele masilahi ya Taifa badala ya makundi yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mama aliyefiwa na mtoto atoa ya moyoni

Devotha Mbutwa, mama wa mtoto Janeth Kihoko, aliyekufa wakati akiogelea na wenzake, amemsamehe mzazi wenzake aliyemchukua mwananye kwenda kwenye hoteli ambayo mauti ilimkuta.

 

5 years ago

Mwananchi

Mbowe atoa ya moyoni akililia demokrasia

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais John Magufuli kuacha kuwafunga mdomo Watanzania na kuijenga Tanzania kuwa Taifa la hofu.

 

10 years ago

Habarileo

Maalim Seif atoa ya moyoni Dar

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif HamadLICHA ya Chama cha Wananchi (CUF) kudai mara kwa mara kuwa kilishinda uchaguzi wa Urais mwaka 2010 visiwani Zanzibar, Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad, amekiri kuwa hawana ushahidi stahiki wa kuthibitisha ushindi huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani