Maalim Seif atoa ya moyoni Dar
LICHA ya Chama cha Wananchi (CUF) kudai mara kwa mara kuwa kilishinda uchaguzi wa Urais mwaka 2010 visiwani Zanzibar, Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad, amekiri kuwa hawana ushahidi stahiki wa kuthibitisha ushindi huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 May
Maalim Seif atoa tuhuma nzito ZEC
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Maalim Seif na Lowassa wakutana Dar
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chadema, Edward Lowassa, jijini Dar es Salaam jana na kusisitiza kuwa CUF haitarudia uchaguzi uliofutwa visiwani humo.Edward Lowassa
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam baada ya mkutano huo wa ndani, Maalim Seif alisema uchaguzi huo ulifutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha binafsi.
“Msimamo...
10 years ago
VijimamboMaalim Seif atumia Boti kwenda na kurudi Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWnDjCKGSSO9SvXTNQUR33zHU9cYmHfgDir5ss6olCHSAPPRkUpP1nSNWhAhGD-lsg3Ao-8s2XsIz9kNs-uK4vE/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MAALIM SEIF ASAFIRI KWA BOTI KWENDA DAR NA KURUDI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nVhwnWoCPF8/VYKuBfJbMkI/AAAAAAAHg4s/0sCF9rL_omc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Rais Kikwete akutana na Maalim Seif Ikulu jijini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s1600/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dSr0aDUaiZc/VWrdMGcfk_I/AAAAAAAHa7c/4NaRGpNgenY/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F3WAe-kZmtE/VWrdDoOs09I/AAAAAAAHa7M/tqvV_nWu-Zk/s1600/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/v5o4UtroreE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oDClT6XsNxc/UxyUnF9MgxI/AAAAAAAFSYs/1iSxEB8CFlE/s72-c/unnamed+(31).jpg)
maalim seif akutana na bw. ludovick Utouh, wanahabari wa Global publishers leo dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-oDClT6XsNxc/UxyUnF9MgxI/AAAAAAAFSYs/1iSxEB8CFlE/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yZb2YNJaMn0/UxyUoL5ltSI/AAAAAAAFSY0/x8mMFfQ8mEg/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BCVr7FUm3ZY/UxyUqI0hiAI/AAAAAAAFSY8/QXXgCEBgM1I/s1600/unnamed+(30).jpg)
10 years ago
Habarileo31 Jul
Ndugai atoa ya moyoni
MBUNGE wa Kongwa anayetetea nafasi yake, Job Ndugai amesema kumekuwa na njama za kumchafua ili kumharibia sifa yake kwani baadhi ya waliojitokeza kuwania ubunge katika jimbo hilo ni mapandikizi na wako kwa nia ya kufanya fujo.