Maalim Seif atoa tuhuma nzito ZEC
>Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad ametoa tuhuma nzito dhidi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akidai kuwa iliandikisha na kuruhusu wapigakura wasiostahili zaidi ya 10,000 kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, wakiwamo marehemu 8,507.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 May
Zitto atoa tuhuma nzito ufutaji misamaha
WAFANYABIASHARA wakubwa wanadaiwa kuwatumia baadhi ya wabunge kuhakikisha muswada wa kufuta misamaha ya kodi haupelekwi bungeni.
10 years ago
Mwananchi12 May
ZEC yamjibu Maalim Seif uchaguzi Zanzibar
9 years ago
Mzalendo Zanzibar04 Sep
Maalim Seif arejesha fomu, aipa neno Zec.
Maalim Seif arejesha fomu, aipa neno Zec. NA RAHMA SULEIMAN 4th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif hamad, jana alirejesha fomu kimyakimya wala kuwa na wapambe wa chama […]
The post Maalim Seif arejesha fomu, aipa neno Zec. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi12 May
Malumbano haya ya Maalim Seif na ZEC yanaitia doa Z’bar
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Maalim Seif akabidhiwa fomu za urais Zanzibar, ailamu ZEC
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
ZEC: Maalim Seif anapaswa kuchuliwa hatua za kisheria kwa kutangaza matokeo
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema imesikitishwa na kitendo cha mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) kujitangazia ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili tarehe 25 Oktoba, 2015 na imevitaka vyombo vinavyosimamia utii wa sheria kumchukulia hatua kiongozi huyo wa CUF.
“kitendo cha Maalim Seif kujitangaza mshindi amevunja kifungu cha 42 (5) cha sheria ya mwaka 1984 ambacho kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kuwa chombo pekee chenye mamlaka hayo” Mwenyekiti...
10 years ago
Habarileo11 May
Maalim Seif atoa ya moyoni Dar
LICHA ya Chama cha Wananchi (CUF) kudai mara kwa mara kuwa kilishinda uchaguzi wa Urais mwaka 2010 visiwani Zanzibar, Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad, amekiri kuwa hawana ushahidi stahiki wa kuthibitisha ushindi huo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QdRHhKxeimUZcp5Z*21CoF4Xn7p2gyAVtRyz4X4hUexITG8Zar*YXUq0dkAnnXeuN8oNhVjT5FP6qlk8S79Mv9*/snura.jpg?width=650)
SNURA TUHUMA NZITO
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Tuhuma nzito kwa mawaziri