Maalim Seif atumia Boti kwenda na kurudi Dar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana ya watendaji wa boti ya (Kilimanjaro 1V) baada ya kuwasili bandari ya Dar es Salaam jana jioni akitokea Unguja.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwapungia mkono wananchi, baada ya kuteremka kutoka ndani ya boti ya (Kilimanjaro 111), aliyosafiria akitokea Dar es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasili katika bandari ya Zanzibar akitokea...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MAALIM SEIF ASAFIRI KWA BOTI KWENDA DAR NA KURUDI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nVhwnWoCPF8/VYKuBfJbMkI/AAAAAAAHg4s/0sCF9rL_omc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Maalim Seif: Siwezi kamwe kurudi CCM hii ya sasa
10 years ago
Habarileo11 May
Maalim Seif atoa ya moyoni Dar
LICHA ya Chama cha Wananchi (CUF) kudai mara kwa mara kuwa kilishinda uchaguzi wa Urais mwaka 2010 visiwani Zanzibar, Katibu Mkuu wake Maalim Seif Sharif Hamad, amekiri kuwa hawana ushahidi stahiki wa kuthibitisha ushindi huo.
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Maalim Seif na Lowassa wakutana Dar
Na Elias Msuya
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia Chadema, Edward Lowassa, jijini Dar es Salaam jana na kusisitiza kuwa CUF haitarudia uchaguzi uliofutwa visiwani humo.Edward Lowassa
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam baada ya mkutano huo wa ndani, Maalim Seif alisema uchaguzi huo ulifutwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha binafsi.
“Msimamo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWnDjCKGSSO9SvXTNQUR33zHU9cYmHfgDir5ss6olCHSAPPRkUpP1nSNWhAhGD-lsg3Ao-8s2XsIz9kNs-uK4vE/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Rais Kikwete akutana na Maalim Seif Ikulu jijini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s1600/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dSr0aDUaiZc/VWrdMGcfk_I/AAAAAAAHa7c/4NaRGpNgenY/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F3WAe-kZmtE/VWrdDoOs09I/AAAAAAAHa7M/tqvV_nWu-Zk/s1600/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/v5o4UtroreE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oDClT6XsNxc/UxyUnF9MgxI/AAAAAAAFSYs/1iSxEB8CFlE/s72-c/unnamed+(31).jpg)
maalim seif akutana na bw. ludovick Utouh, wanahabari wa Global publishers leo dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-oDClT6XsNxc/UxyUnF9MgxI/AAAAAAAFSYs/1iSxEB8CFlE/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yZb2YNJaMn0/UxyUoL5ltSI/AAAAAAAFSY0/x8mMFfQ8mEg/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BCVr7FUm3ZY/UxyUqI0hiAI/AAAAAAAFSY8/QXXgCEBgM1I/s1600/unnamed+(30).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJtI_YB3r8s/VngXWSpnvfI/AAAAAAAINug/ik6b4hQbhbs/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MAALIM SEIF SHARIF HAMADI IKULU JIJINI DAR LEO
![maa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa1.jpg)
![maa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa2.jpg)