JK atoa ya moyoni mchakato wa Katiba
Rais Jakaya Kikwete amewataka wajumbe watakaopata fursa ya kuingia kwenye Bunge la Katiba kuweka mbele masilahi ya Taifa badala ya makundi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QvdaVNfc2y8/U9UMxSBJnDI/AAAAAAAF7EM/3ZXJmzCFJNk/s72-c/unnamed.jpg)
RAZA ATOA YA MOYONI KUHUSU MCHAKATO WA KATIKA MPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QvdaVNfc2y8/U9UMxSBJnDI/AAAAAAAF7EM/3ZXJmzCFJNk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eyG1Gm7m5fk/U9UNGOKfCYI/AAAAAAAF7EY/hZoM3epJxS8/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s72-c/unnamed+(17).jpg)
MWENYEKITI CCM TAWI LA MOSCOW URUSI ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA MCHAKATO WA KATIBA, ASEMA SERIKALI MBILI NDIO SULUHISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mwenyekiti tawi la CCM Moscow Ndg Mfungahema Salim amesema muundo wa muungano wa serikali Mbili ndio suluhisho pekee la watanzania, Akizungumza katika kikao cha kamati ya siasa ya tawi kilichofanyika 05.06.2014, bwana Mfungahema alisema muungano wa serikali mbili ndio umetufikisha hapa tulipo na kuna mafanikio makubwa TULIYOYAPATA, pamoja na changamoto chache zinazojitokeza lakini zinarekebishika.
Bwana Mfungahema aliwataka...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Bi. Hania atoa ya moyoni
MKALI wa filamu za Kibongo, Halima Issa ‘Bi Hania’, ameelezea kukerwa na kukithiri kwa tabia ya baadhi ya viongozi wa makundi ya sanaa kuendekeza vitendo vya ngono kwa wasanii wa...
10 years ago
Habarileo31 Jul
Ndugai atoa ya moyoni
MBUNGE wa Kongwa anayetetea nafasi yake, Job Ndugai amesema kumekuwa na njama za kumchafua ili kumharibia sifa yake kwani baadhi ya waliojitokeza kuwania ubunge katika jimbo hilo ni mapandikizi na wako kwa nia ya kufanya fujo.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Zitto atoa ya moyoni
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (CHADEMA), amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakaporejea Agosti 5, wapitishe rasimu ya pili ya katiba kama njia ya kumuenzi mama yake Shida...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Aliyepigwa risasi atoa ya moyoni
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Mbowe atoa ya moyoni akililia demokrasia
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Mama aliyefiwa na mtoto atoa ya moyoni
10 years ago
Vijimambo31 Oct
Mkapa atoa ya moyoni rais 2015
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkapa-October31-2014.jpg)
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, amezungumzia mbio za kuwania urais wa 2015 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akitaja sifa za mtu anayepaswa kuteuliwa kuwa mgombea wake, ikiwamo ya kukubalika na kuuzika kwa jamii.
Amesema kukubalika na kuuzika kwa mtu katika siasa kunatokana na utendaji, haiba, wasifu na ushawishi wa mtu huyo ndani ya chama na serikalini na kwamba, umri siyo kigezo cha kuangaliwa ingawa siyo dhambi vijana wakajitokeza kujitosa katika kinyang’anyiro...