Urais roho juu CCM, Ukawa
Patricia Kimelemeta na Aziza Masoud, Dar es Salaam
JOTO la kuwatangaza wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupanda huku kila upande ukimvizia mwenzake aanze kutangaza mgombea wake.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa Ukawa katika mkutano wao na wanahabari kueleza mgombea wao atatangazwa Machi mwaka huu, lakini hadi sasa imepita miezi miwili bila kujulikana.
Wakati hayo yakiendelea ndani ya Ukawa, CCM...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Siri ya CCM, Ukawa Nyanda za Juu Kusini
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Nyalandu: Urais CCM, Ukawa ni kivumbi
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Wagombea urais CCM wawanufaisha Ukawa
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Mvua zawaweka roho juu wakazi Dar
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Jinamizi linalowaweka roho juu wakazi wa Dar
9 years ago
Habarileo29 Oct
Ukawa waishangaza CCM kushangilia ubunge, kukataa matokeo ya urais
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinashangazwa na malalamiko ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwamba hawakubali matokeo ya urais yanayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), lakini huku wakishangilia ushindi katika majimbo waliyoshinda ambayo uchaguzi pia ulisimamiwa na NEC.
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Magufuli awaweka roho juu vigogo mashirika ya umma
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Uroho wa urais utawatoa roho mafisadi
WAPO Watanzania wachache wanaodhani kuwa kitendo cha Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Mwalimu Julius Nyerere kuwa rais alibahatisha, hakuwa na uwezo wa kuongoza taifa hili....