Nyalandu: Urais CCM, Ukawa ni kivumbi
Dar es Salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema uchaguzi wa Rais ajaye utakuwa na ushindani mkubwa ndani na nje ya CCM, huku akibainisha kuwa haogopi mtu kati ya wote wanaotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho, bali anawaheshimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-x9yNNl65Wag/VYVnCentcII/AAAAAAABcFE/qfjrj4QQ8yQ/s72-c/kali.jpg)
WAZIRI NYALANDU; URAIS USIWAGAWE WANA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9yNNl65Wag/VYVnCentcII/AAAAAAABcFE/qfjrj4QQ8yQ/s640/kali.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8C1Ux0Jm4RU/VYVnD03QxKI/AAAAAAABcFM/aRZTVonsBHo/s640/two.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Nyalandu ajitosa rasmi mbio za Urais kupitia CCM 2015
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/FxrACWrPD-Q/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Urais roho juu CCM, Ukawa
Patricia Kimelemeta na Aziza Masoud, Dar es Salaam
JOTO la kuwatangaza wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupanda huku kila upande ukimvizia mwenzake aanze kutangaza mgombea wake.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa Ukawa katika mkutano wao na wanahabari kueleza mgombea wao atatangazwa Machi mwaka huu, lakini hadi sasa imepita miezi miwili bila kujulikana.
Wakati hayo yakiendelea ndani ya Ukawa, CCM...
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Wagombea urais CCM wawanufaisha Ukawa
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi
9 years ago
Habarileo29 Oct
Ukawa waishangaza CCM kushangilia ubunge, kukataa matokeo ya urais
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinashangazwa na malalamiko ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwamba hawakubali matokeo ya urais yanayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), lakini huku wakishangilia ushindi katika majimbo waliyoshinda ambayo uchaguzi pia ulisimamiwa na NEC.
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Kivumbi cha CCM Majimbo matano leo
Patricia Kimelemeta na Esther Mnyika
UPIGAJI wa kura za maoni zinazorudiwa katika majimbo matano leo nchini katika Chama Cha Mapinduzi (CCM)unatarajiwa kuwa na mvutano mkubwa.
Majimbo yanayorudia uchaguzi na mikoa yake kwenye mabano ni Busega (Simiyu), Kilolo (Iringa), Rufiji (Pwani), Makete(Njombe)na Ukonga(Dar es Salaam).
Kamati Kuu ya CCM iliamuru uchaguzi huo urudiwe baada ya kubaini rafu na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi wakati wa kura za maoni ambapo pia matokeo yake yanapaswa...