Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua zawaweka roho juu wakazi Dar

Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimezua taharuki kwa wakazi wake hasa baada ya kusababisha athari katika baadhi ya maeneo muhimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jinamizi linalowaweka roho juu wakazi wa Dar

Wapo wanaoombea msimu wa mvua uanze ili hali ya joto la Dar es Salaam ipungue, lakini kwa wakazi wengi huwa na maombi tofauti na wakati mwingine wingu jeusi linapotanda tu, taratibu za kuhama makazi yao huanza.

 

11 years ago

GPL

ADHA YA MVUA INAVYOWATESA WAKAZI WA JIJINI DAR

Bodaboda wakiwa kwenye foleni kusubiri abiria. Magari yakiwa ‘yameshonana’ kwenye foleni.…

 

10 years ago

GPL

MVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR

Soko la Mchikichini, Ilala-Boma linavyoonekana kufuatia mvua za sasa Maji yalivyotapakaa soka la Sinza Afrika-Sana. Wakazi wa Mwanayamala-Mkwajuni wakitoa maji katika nyumba zao.…

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR

Dereva wa bodaboda na abiria wake wakipita katika njia iliyojaa maji. Maji yakitiririka kwa kasi katika katika mfereji mmoja uliopo Kijitonyama.…

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA

Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …

 

9 years ago

Michuzi

Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali

Jeshi la polisi mkoani Tabora limetoa agizo kuwachukuliwa hatua polisi wanaojihusisha na uharifu na wanaotoa siri za jeshi hilo: https://youtu.be/ke0jqZIOm3o
Waumi ni wa pentekoste mkoani  Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...

 

10 years ago

Mtanzania

Urais roho juu CCM, Ukawa

napeslaaPatricia Kimelemeta na Aziza Masoud, Dar es Salaam
JOTO la kuwatangaza wagombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupanda huku kila upande ukimvizia mwenzake aanze kutangaza mgombea wake.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa Ukawa katika mkutano wao na wanahabari kueleza mgombea wao atatangazwa Machi mwaka huu, lakini hadi sasa imepita miezi miwili bila kujulikana.
Wakati hayo yakiendelea ndani ya Ukawa, CCM...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli awaweka roho juu vigogo mashirika ya umma

Siku moja baada ya Rais John Magufuli na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa kuwasimamisha watendaji wa Bandari na TRA, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amemtaka kila mtendaji mkuu au ofisa masuhuli wa Serikali kujiuliza ni kwa kiasi gani anatekeleza kwa vitendo dhamira ya Rais ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani