Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADHA YA MVUA INAVYOWATESA WAKAZI WA JIJINI DAR

Bodaboda wakiwa kwenye foleni kusubiri abiria. Magari yakiwa ‘yameshonana’ kwenye foleni.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ADHA YA MVUA JIJINI DAR

Baadhi ya wanafunzi wa Shule za Msingi zilizopo Kongowe, Mbagala wilayani Temeke jijini Dar wakijaribu kuvuka katika maji yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. (PICHA NA MDAU WA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO KAMA ILI TUTUMIE KUPITIA NAMBA…

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

WAKAZI WA MABOGINI MKOANI KILIMANJARO WAANZA KUPATA ADHA YA MVUA ZINAZONYESHA SASA

Sehemu ya makazi ya watu yakiwa yameingiliwa na maji.

Wazazi walilazimika kufanya kazi ya kuwavusha wanafunzi.

Maji yakiingia katika maeneo ya makazi ya watu katika eneo la Mabogini.

Wazazi walilazimika kuacha shughuli zao na kwenda kuwachukua watoto wao wasije chukuliwa na maji.

Wanafunzi wakijaribu kuvuka maji wakati wakitoka shuleni.

Mama akimsadia mtoto wake kuvuka maji katika eneo la Mabogini .


Mifugo ikipita katika maji yaliyokuwa yakitokea katika mashamba ya TPC.

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR

Dereva wa bodaboda na abiria wake wakipita katika njia iliyojaa maji. Maji yakitiririka kwa kasi katika katika mfereji mmoja uliopo Kijitonyama.…

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA

Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …

 

10 years ago

Michuzi

ADHA YA USAFIRI JIJINI DAR

 Abiria katika moja ya Daladala linalofanya safari zake kati ya Mbezi - Posta wakigombea kuingia kwenye gari hilo kupitia mlango wa Dereva,baada ya Kondakta wa Basi hilo kutofungua mlango kutokana na uwingi wa abiria hao.tukio hili limetokea jioni hii katika kituo cha Daladala cha Posta Mpya,jijini Dar es Salaam. Mara Dereva akashukia mlango wa abiria na kuja kuwazuia abiria kupanda basi hilo kupitia mlango wake,hapo napo ilikuwa mbinde ile mbaya. Mara akafanikiwa kuwadhibiti na kuwataka...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua zawaweka roho juu wakazi Dar

Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimezua taharuki kwa wakazi wake hasa baada ya kusababisha athari katika baadhi ya maeneo muhimu.

 

10 years ago

GPL

MVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR

Soko la Mchikichini, Ilala-Boma linavyoonekana kufuatia mvua za sasa Maji yalivyotapakaa soka la Sinza Afrika-Sana. Wakazi wa Mwanayamala-Mkwajuni wakitoa maji katika nyumba zao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani