Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA MABOGINI MKOANI KILIMANJARO WAANZA KUPATA ADHA YA MVUA ZINAZONYESHA SASA

Sehemu ya makazi ya watu yakiwa yameingiliwa na maji.

Wazazi walilazimika kufanya kazi ya kuwavusha wanafunzi.

Maji yakiingia katika maeneo ya makazi ya watu katika eneo la Mabogini.

Wazazi walilazimika kuacha shughuli zao na kwenda kuwachukua watoto wao wasije chukuliwa na maji.

Wanafunzi wakijaribu kuvuka maji wakati wakitoka shuleni.

Mama akimsadia mtoto wake kuvuka maji katika eneo la Mabogini .


Mifugo ikipita katika maji yaliyokuwa yakitokea katika mashamba ya TPC.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HOFU YA KUTOKEA MAFURIKO,WAKAZI WA KATA YA MABOGINI-KILIMANJARO WAITANA MSARAGAMBO KUZIBA MAPITIO YA MAJI

Wakazi wa Kitongoji cha Bogini wakiwa wamejitikeza kwenye Msaragambo kwa ajili ya kuchimba na kufukia kwa vifusi maeneo ambayo ni mapitio ya maji kwenda kwenye makazi ya watu. Wakazi wa kata ya Mabogini wakiwa katika Msaragambo. Shughuli ya kuziba maeneo korofi iliendelea. Hata wale wasio na vitendea kazi walilazimika kutumia mikono kufanya shughuli hiyo. Sehemu ya barabara ikizibwa na mabaki ya mmatofari ya kuchoma.   Shughuli ya kuziba maeneo hayo ikiwa imekamilika .

 

11 years ago

GPL

ADHA YA MVUA INAVYOWATESA WAKAZI WA JIJINI DAR

Bodaboda wakiwa kwenye foleni kusubiri abiria. Magari yakiwa ‘yameshonana’ kwenye foleni.…

 

11 years ago

Habarileo

‘Mvua zinazonyesha ni mabadiliko ya hali ya hewa’

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua zilizonyesha kuanzia alfajiri ya jana zinatokana na mabadiliko ya hali ya hewa baharini na zinatarajia kuendelea leo katika maeneo yote ya pwani.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Kinondoni sasa kupata haki zao.

Serikali imeunda Kamati ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ili kusikiliza na kutatua kero na changamoto zinazowakabili wananchi wanapodai haki zao katika mahakama za kikatiba.

Kamati hiyo itakayoshughulikia nidhamu ya mahakama imeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mahakama nambari 4 ya mwaka 2011, sehemu ya 51 mabano moja.

Kamati iliyoundwa itashughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya mahakama ya mwanzo, na inaweza kumsimamisha kazi hakimu kupisha uchunguzi wa malalamiko dhidi...

 

11 years ago

GPL

MAGARI YAKWAMA DARAJA LA RUVU KUTOKANA NA MVUA KUBWA ZINAZONYESHA

Baadhi ya Malori yakiwa katika foleni kubwa katika daraja la Ruvu kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. Sehemu kubwa ya maji eneo la Ruvu. Foleni ya kufa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”

IMG-20150506-WA0008

Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.

 

11 years ago

GPL

ADHA YA MVUA JIJINI DAR

Baadhi ya wanafunzi wa Shule za Msingi zilizopo Kongowe, Mbagala wilayani Temeke jijini Dar wakijaribu kuvuka katika maji yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha. (PICHA NA MDAU WA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO KAMA ILI TUTUMIE KUPITIA NAMBA…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani