HOFU YA KUTOKEA MAFURIKO,WAKAZI WA KATA YA MABOGINI-KILIMANJARO WAITANA MSARAGAMBO KUZIBA MAPITIO YA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e9F1P5l92QI/U0o_1CzwhYI/AAAAAAAACTQ/-T-ikpVF414/s72-c/2014-04-13+08.52.50.jpg)
Wakazi wa Kitongoji cha Bogini wakiwa wamejitikeza kwenye Msaragambo kwa ajili ya kuchimba na kufukia kwa vifusi maeneo ambayo ni mapitio ya maji kwenda kwenye makazi ya watu.
Wakazi wa kata ya Mabogini wakiwa katika Msaragambo.
Shughuli ya kuziba maeneo korofi iliendelea.
Hata wale wasio na vitendea kazi walilazimika kutumia mikono kufanya shughuli hiyo.
Sehemu ya barabara ikizibwa na mabaki ya mmatofari ya kuchoma.
Shughuli ya kuziba maeneo hayo ikiwa imekamilika .
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAKAZI WA MABOGINI MKOANI KILIMANJARO WAANZA KUPATA ADHA YA MVUA ZINAZONYESHA SASA
Mifugo ikipita katika maji yaliyokuwa yakitokea katika mashamba ya TPC.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Wakazi Missenyi na hofu ya mradi mpya wa maji
“NASHANGAA kitendo kilichofanywa na Halmashauri ya Missenyi kuingilia kati mradi wa maji wa wananchi ulioanza miaka 42 iliyopita.” Hivyo ndivyo anavyosema Patricia Edward ambaye ni miongoni mwa wakazi wa Kata...
9 years ago
GPL06 Sep
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI
10 years ago
StarTV04 May
Wananchi Kyela wakumbwa na hofu ya mafuriko.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imeanza kukumbwa na mafuriko yanayohatarisha usalama wa wananchi na mali zao kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo.
Kutokana na hali hiyo Serikali wilayani Kyela imewatahadharisha wananchi kuchukua tahadhari za kujiepusha na mafuriko hayo ikiwemo kuhama kutoka kwenye maeneo yaliyo kando ya mito na maziwa.
Aprili 12 mwaka jana watu Saba walifariki dunia wilayani Kyela mkoani Mbeya wakati kaya...
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mafuriko yazua Hofu ya njaa Sierra Leone
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s72-c/_MG_7029.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAKIRI WAZI HAIJAPATA KUTOKEA,WAELEZA HISIA ZAO KUWA MAGUFULI ANATOSHA NAFASI YA URAIS.
![](http://1.bp.blogspot.com/-tkeZa42HjVI/ViKZB40cMkI/AAAAAAAIAl4/k2usBhNhw0E/s640/_MG_7029.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMl3fEogN20/ViKZFhd8cxI/AAAAAAAIAmA/e-wCJ0YN42o/s640/_MG_7034.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10