LOWASSA AZIDI KUPATA MAPOKEZI MAKUBWA KILA ANAKOKWENDA, SONGEA ALAZIMIKA KUKAA JUU YA PAA LA NYUMBA

WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania.
Lowassa ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa shukrani baada ya kudhaminini na wanaCCM zaidi ya elfu 52.
"Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboUONGOZI WA JUU WA ACT WAPATA MAPOKEZI MAKUBWA SONGEA
11 years ago
Michuzi.jpg)
MBUNGE WA SONGEA MJINI, DK EMMANUEL NCHIMBI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIMBONI KWAKE.
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
MAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA HAYANA MFANO, AZIDI KUDHAMINIWA KWA KISHINDO



10 years ago
Michuzi
LOWASSA ATUA MPANDA KWA CHOPA, APATA MAPOKEZI MAKUBWA


10 years ago
Michuzi
LOWASSA ATUA SINGIDA MJINI LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA


10 years ago
Michuzi
WANACCM 53,156 WAMDHAMINI MH. LOWASSA JIJINI MBEYA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA

10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
10 years ago
Michuzi
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA

Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Gari laingia katika paa ya nyumba