Gari laingia katika paa ya nyumba
Mapema leo gari liligonga na kuingia ndani ya nyumba moja nchini Afrika kusini kupitia paa la nyumba hiyo kulingana na huduma ya dharura ya ER24 nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKORnOSjWHuJfAab2nIQ8lBloeWs3CeIUIEnoZ0sHzYrI75vMiWORweyPVvxMdLbyQuBM0CaWUHVOwxGy7R7j3G*/FRONTAMANI.jpg)
GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Gari la kubebea Majeneza la kipekee laingia nchini
Pichani juu na chini ni muonekano wa Gari maalum la kukodisha kwa ajili ya shughuli za kubebea majeneza katika misiba limeingia nchini.
Kwa wanaohitaji kukodi kwa shughuli za misiba wanaweza kuwasiliana kupitia barua pepe kiwiaadavidson@hotmail.com au simu namba +255 715 213213, +255 713 616606 na +255 784616606
Muonekano wa ndani sehemu maalum linapowekwa jeneza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKGdgX04x8edzlBalSBFjp*TUQfXEkT8HSMaDmAc8sfxZUm0TmHZ7srljFcbbaq7HHXdPn9FrE4oCo8KoYNxGml/IMG20141201WA0019.jpg?width=650)
GARI LAINGIA MTARONI LIKIPANDA MLIMA KITONGA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4Grnjdn8PIQ/VYcIqJ15KuI/AAAAAAAHiM0/mziCeG7vBXk/s72-c/MMGL0834.jpg)
LOWASSA AZIDI KUPATA MAPOKEZI MAKUBWA KILA ANAKOKWENDA, SONGEA ALAZIMIKA KUKAA JUU YA PAA LA NYUMBA
Lowassa ameyasema hayo leo wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa shukrani baada ya kudhaminini na wanaCCM zaidi ya elfu 52.
"Nimekuwa mwanaCCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu,...
11 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-x-Ioa5sKiHk/Uy7iOwuEGxI/AAAAAAAAkyw/fkkFh9JAEI8/s1600/gz1.jpg)
RIDHIWANI ASHUHUDIA SHULE ILIYOEZULIWA PAA NA KIMBUNGA KATIKA KIJIJI CHA KIKWAZU, AAHIDI KUSAIDIA KUIBORESHA TENA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dr7VNyboDMI/XrvKaQuj09I/AAAAAAACKfs/YIAgRLi_ZQg8OV4t4Bag6LheVCDJJAbJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MAGUFULIATEUAAA-4-600x430.jpg)
KANISA LAINGIA KATIKA IBADA YA SIKU TISA KUMUOMBA MUNGU AMFICHE RAIS DK. MAGUFULI DHIDI YA WAOVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-dr7VNyboDMI/XrvKaQuj09I/AAAAAAACKfs/YIAgRLi_ZQg8OV4t4Bag6LheVCDJJAbJwCLcBGAsYHQ/s400/MAGUFULIATEUAAA-4-600x430.jpg)
Kanisa la Halisi la Mungu Baba lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam, limeingia katika ibada ya siku tisa kumuombea Rais Dk. John Magufuli, Mungu amfiche ili waovu wasimdhuru na ampe maisha marefu ili endelee kuwatumikia Watanzania kwa hekima, busara na maarifa.
Akizungumza jana katika ibada hiyo ambayo ilianza siku sita zilizopita, Kiongozi wa Kanisa hilo anayejulikana kwa jina la Baba wa Uzao aliwaambia waumini kwamba Kanisa limechukua hatua ya kumuombea...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Gari yaangukia nyumba, yaua
MKAZI wa Oysterbay, Dar es Salaam, Abdul Hashimu (51), amefariki dunia baada ya gari lililokuwa likimwaga kifusi kupinduka na kuangukia kwenye nyumba aliyokuwa amelala. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Utauzaje nyumba na kununua gari?
KATIKA maisha yetu ya kawaida binadamu ni dhahiri wote bila ya kujali tofauti ya uwezo wetu kifedha au kiuchumi kwa ujumla, tunahitaji kula, kuvaa na makazi (malazi). Mahitaji hayo niliyoyataja...