Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI

Stori: Shakoor Jongo IKIWA takriban ni miezi minne kasoro tangu gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ aiage dunia, gari aina ya Toyota Fun Cargo alilopewa kama zawadi na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdu ‘Diamond’ limedaiwa kupigwa bei. Gari alilokabidhiwa aliyekuwa gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ ,  aina ya Toyota Fun Cargo. Chanzo makini kilicho...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Gari laingia katika paa ya nyumba

Mapema leo gari liligonga na kuingia ndani ya nyumba moja nchini Afrika kusini kupitia paa la nyumba hiyo kulingana na huduma ya dharura ya ER24 nchini humo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Gari la kubebea Majeneza la kipekee laingia nchini

IMG_0469

Pichani juu na chini ni muonekano wa Gari maalum la kukodisha kwa ajili ya shughuli za kubebea majeneza katika misiba limeingia nchini.

Kwa wanaohitaji kukodi kwa shughuli za misiba wanaweza kuwasiliana kupitia barua pepe kiwiaadavidson@hotmail.com au simu namba +255 715 213213, +255 713 616606 na +255 784616606 

IMG_0459

IMG_0481

Muonekano wa ndani sehemu maalum linapowekwa jeneza.

IMG_0477

 

10 years ago

GPL

GARI LAINGIA MTARONI LIKIPANDA MLIMA KITONGA

Basi liitwalo Easy Bus  lenye namba za usajili T 298 BLZ lililokuwa likitokea Lilongwe Malawi likiwa katika mtaro wa Mlima Kitonga.…

 

11 years ago

GPL

GARI LA GURUMO UTATA MTUPU

AMA kweli asiyekuwepo na lake halipo! Lile gari la aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi aliyefariki dunia hivi karibuni, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo alilopewa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeibua utata mtupu ndani ya familia ya marehemu huyo baada ya kubainika kwamba kumbe hakupewa kadi yake. Gari aina ya Toyota FunCargo iliyosababisha hali ya sintofahamu kwenye familia ya...

 

10 years ago

Michuzi

Gari liko sokoni

Gari aina ya Toyota Rav4,liko sokoni kwa gharama nafuu kabisa au waweza sema ni karibu na bure.Gari iko kwenye hali nzuri sana. Gia ni automatic, mafuta inayotumia ni petrol, imetembea 128,000 km. 
kwa atakayeihitaji,asasiliwane na ndugu kwenye Mawasiliano haya 0683 206230 Linavyoonekana kwa nyuma na ubavu wa kushoto.ndani.Mbele.

 

10 years ago

GPL

GARI LA KANUMBA LADODA SOKONI

Andrew Carlos na Gladness Mallya
ZIKIWA zimepita siku chache tangu kuadhimishwa miaka mitatu kwa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, inadaiwa kuwa gari alilokuwa akilitembelea aina ya Toyota Lexus lenye namba za usajili T750 AER limezidi kudoda sokoni, Risasi Jumamosi linakujuza. Gari alilokuwa akilitembelea marehemu Steven Kanumba aina ya Toyota Lexus. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa gari hilo...

 

11 years ago

GPL

SIRI NJE: KADI GARI LA GURUMO ANAYO RUGE

Stori: Musa Mateja
SIRI nzito yaanikwa juu ya utata wa nani mrithi wa gari alilokuwa akitumia marehemu Maalimu Mhidini Gurumo huku pia gazeti hili likibaini kuwa kadi ya gari hilo ipo kwa Ruge Mutahaba. Diamond Platinum akimkabidhi ufunguo ya gari aina ya Toyota Fun Cargo marehemu Gurumo. Ruge ni Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Kampuni ya Clouds Media Group ya jijini Dar es Salaam.
Mbali na kujulikana kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari la Kanumba Lashindwa Kuuzika Sokoni

Ikiwa ni miaka mitatu sasa imepita tangu aliekuwa staa wa Bongo  Movies, marehemu Steven Kanumba, inadaiwa kuwa gari alilokuwa akilitembelea aina ya Toyota Lexus lenye namba za usajili T750 AER limezidi kudoda sokoni.

Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi kimepenyeza habari kuwa gari hilo lililonunuliwa na marehemu kwa shilingi milioni 78, linapatikana maeneo ya Msasani, jijini Dar kwenye jengo la mikopo ambapo linauzwa kwa bei chee ya shilingi milioni 18 hadi 14.

“Nilikuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani