Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIRI NJE: KADI GARI LA GURUMO ANAYO RUGE

Stori: Musa Mateja
SIRI nzito yaanikwa juu ya utata wa nani mrithi wa gari alilokuwa akitumia marehemu Maalimu Mhidini Gurumo huku pia gazeti hili likibaini kuwa kadi ya gari hilo ipo kwa Ruge Mutahaba. Diamond Platinum akimkabidhi ufunguo ya gari aina ya Toyota Fun Cargo marehemu Gurumo. Ruge ni Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Kampuni ya Clouds Media Group ya jijini Dar es Salaam.
Mbali na kujulikana kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIRI YA DK. SLAA ANAYO MKE WAKE

Mwandishi Wetu IMEVUJA! Siri ya kitu kilicho kichwani mwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Wilbroad Slaa kuhusu mustakabali wake wa kisiasa umedaiwa upo kwa mkewe, Josephine Mushumbushi, Ijumaa Wikienda imevujishiwa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DBoTJE

 

11 years ago

GPL

GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI

Stori: Shakoor Jongo IKIWA takriban ni miezi minne kasoro tangu gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ aiage dunia, gari aina ya Toyota Fun Cargo alilopewa kama zawadi na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdu ‘Diamond’ limedaiwa kupigwa bei. Gari alilokabidhiwa aliyekuwa gwiji wa muziki Muhidin Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ ,  aina ya Toyota Fun Cargo. Chanzo makini kilicho...

 

11 years ago

GPL

GARI LA GURUMO UTATA MTUPU

AMA kweli asiyekuwepo na lake halipo! Lile gari la aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi aliyefariki dunia hivi karibuni, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo alilopewa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeibua utata mtupu ndani ya familia ya marehemu huyo baada ya kubainika kwamba kumbe hakupewa kadi yake. Gari aina ya Toyota FunCargo iliyosababisha hali ya sintofahamu kwenye familia ya...

 

10 years ago

GPL

VITA YA WABUNGE WAREMBO, SIRI NJE

Stori: Mwandishi Wetu
IMEFICHUKA! Madai ya Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Geita, Vicky Paschal Kamata kuwatumia meseji za kashfa wabunge wenzake, Lucy Thomas Mayenga (CCM) na Catherine Valentine Magige (UVCCM)Mkoa wa Arusha sasa mambo hadharani. Mbunge wa CCM kupitia kadi ya Umoja wa Vijana (UVCCM), Mkoa wa Arusha, Catherine Valentine Magige . Kwa mujibu wa chanzo chetu, wabunge hao warembo wako katika vita baridi...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI KUWEKA UTARATIBU UTAKAOWEZESHA TAASISI ZA UMMA NA WATU BINAFSI KUACHA KUAGIZA KADI ZA KIELETRONIKI NJE YA NCHI


MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati alipotembelea Kiwanda cha Kuzalisha Vocha na Kadi mbalimbali kilichopo cha Rushabh Investment Limited cha Jijini Tanga wakati wa ziara yake kuona namna wanavyoendelea na uzalishaji kulia ni Mwekezaji wa Kiwanda hicho Rashid Liemba.
Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto akikagua kadi mbalimbali ikiwemo za Kadi za Mpiga kura,Benki na Kadi za NHIF na vyenginezo zilizokuwa zikitoka kwenye mashine za kutengenezea kwenye kiwanda cha...

 

10 years ago

Vijimambo

SHOGA USITOE SIRI ZA MUMEO NJE UTAACHWA!


Ni siku nyingine ya Jumanne ambapo tunakutana katika safu yetu hii mahususi kwa kuelimishana na kukosoana kwa lengo la kuboresha uhusiano wa kimapenzi na wenza wetu.

Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nanyi kuhusu madhara ya kuchunguza simu ya mume, leo nataka kuzungumzia ‘topiki’ kuhusiana na wanawake wanaopenda kutoa siri za wapenzi au waume zao nje.
Nimeamua kuzungumzia ishu hiyo kwa sababu nimeshuhudia mara kadhaa wanawake wakiachwa, kisa kikiwa kuwaeleza wenzao mambo yao ya ndani.

Tabia...

 

9 years ago

Bongo5

Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania

Director wa video za muziki, Hanscana amekiri kuwa video ya Vanessa Mdee ‘Siri’, ndio iliyomfungulia soko la wasanii wa nje kuja kufanya naye video hapa Tanzania. Hanscana ambaye wiki chache zilizopita ameshoot video mpya ya Avril na Ay jijini Dar es salaam, ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa ameshafanya video za wasanii wapatao sita kutoka nje […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao

NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA

 Mke wa Thobias Mwanakatwe, Levina Michael Genda, enzi za uhai wake.Mwanahabari Thobias Mwanakatwe, akiwa na mke wake enzi za uhai wake.

Dotto Mwaibale

MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.

Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani