SIRI NJE: KADI GARI LA GURUMO ANAYO RUGE
![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLiyp*A1Ic8X77K3VFTCMDDs-NTxGXt722bq-AujJGrlcFF4Jnp7BCSiAfxlL3bQunGj1J5Ua8lx3qCg8ZklmXK/gurumo.jpg)
Stori: Musa Mateja SIRI nzito yaanikwa juu ya utata wa nani mrithi wa gari alilokuwa akitumia marehemu Maalimu Mhidini Gurumo huku pia gazeti hili likibaini kuwa kadi ya gari hilo ipo kwa Ruge Mutahaba. Diamond Platinum akimkabidhi ufunguo ya gari aina ya Toyota Fun Cargo marehemu Gurumo. Ruge ni Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Kampuni ya Clouds Media Group ya jijini Dar es Salaam. Mbali na kujulikana kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAK*j5P-Yq8DdaL1hd1GyGwIfqgHZlHH5tuJkrlkbOnRRxaECXU3qyQd3MMZ8M7jfNCn56ELPNfT1wPnqzqMCYqm/slaa.gif?width=650)
SIRI YA DK. SLAA ANAYO MKE WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKORnOSjWHuJfAab2nIQ8lBloeWs3CeIUIEnoZ0sHzYrI75vMiWORweyPVvxMdLbyQuBM0CaWUHVOwxGy7R7j3G*/FRONTAMANI.jpg)
GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHBgOMceW94qX041JvUS*tUgSkZktPMm*D5Oh-F787nhjWY7I53ZQO0fxLEbblQscFb3egjAYjsw-92brpSq-a8/gurumo.jpg?width=650)
GARI LA GURUMO UTATA MTUPU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8kQfMqqsB*02rxpInk6Z0ntVRA8u5FMQYADKEeFGgH*8M*PychLoGB*NILaSgQU2tZWGSG36bhraFnQR7C-E*f/cathy.jpg)
VITA YA WABUNGE WAREMBO, SIRI NJE
5 years ago
MichuziSERIKALI KUWEKA UTARATIBU UTAKAOWEZESHA TAASISI ZA UMMA NA WATU BINAFSI KUACHA KUAGIZA KADI ZA KIELETRONIKI NJE YA NCHI
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati alipotembelea Kiwanda cha Kuzalisha Vocha na Kadi mbalimbali kilichopo cha Rushabh Investment Limited cha Jijini Tanga wakati wa ziara yake kuona namna wanavyoendelea na uzalishaji kulia ni Mwekezaji wa Kiwanda hicho Rashid Liemba.
Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto akikagua kadi mbalimbali ikiwemo za Kadi za Mpiga kura,Benki na Kadi za NHIF na vyenginezo zilizokuwa zikitoka kwenye mashine za kutengenezea kwenye kiwanda cha...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
SHOGA USITOE SIRI ZA MUMEO NJE UTAACHWA!
![](http://verysmartbrothas.com/images/gossiping-women.jpg)
Ni siku nyingine ya Jumanne ambapo tunakutana katika safu yetu hii mahususi kwa kuelimishana na kukosoana kwa lengo la kuboresha uhusiano wa kimapenzi na wenza wetu.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nanyi kuhusu madhara ya kuchunguza simu ya mume, leo nataka kuzungumzia ‘topiki’ kuhusiana na wanawake wanaopenda kutoa siri za wapenzi au waume zao nje.
Nimeamua kuzungumzia ishu hiyo kwa sababu nimeshuhudia mara kadhaa wanawake wakiachwa, kisa kikiwa kuwaeleza wenzao mambo yao ya ndani.
Tabia...
9 years ago
Bongo513 Oct
Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
VijimamboMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...