VITA YA WABUNGE WAREMBO, SIRI NJE

Stori: Mwandishi Wetu IMEFICHUKA! Madai ya Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Geita, Vicky Paschal Kamata kuwatumia meseji za kashfa wabunge wenzake, Lucy Thomas Mayenga (CCM) na Catherine Valentine Magige (UVCCM)Mkoa wa Arusha sasa mambo hadharani. Mbunge wa CCM kupitia kadi ya Umoja wa Vijana (UVCCM), Mkoa wa Arusha, Catherine Valentine Magige . Kwa mujibu wa chanzo chetu, wabunge hao warembo wako katika vita baridi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Feb
SIASA: Vita ya urais CCM nje nje
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi vita dhidi ya Ukimwi
DESEMBA mosi, kila mwaka, watu wote duniani huadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hiyo ilianzishwa mwaka 1987 na hubeba maudhui mbalimbali kila mwaka. Maudhui ya mwaka huu ni ‘Elekeza, Jiunge...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Majina ya wabunge ‘majangili’ siri kubwa
10 years ago
Vijimambo24 Nov
SHOGA USITOE SIRI ZA MUMEO NJE UTAACHWA!

Ni siku nyingine ya Jumanne ambapo tunakutana katika safu yetu hii mahususi kwa kuelimishana na kukosoana kwa lengo la kuboresha uhusiano wa kimapenzi na wenza wetu.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nanyi kuhusu madhara ya kuchunguza simu ya mume, leo nataka kuzungumzia ‘topiki’ kuhusiana na wanawake wanaopenda kutoa siri za wapenzi au waume zao nje.
Nimeamua kuzungumzia ishu hiyo kwa sababu nimeshuhudia mara kadhaa wanawake wakiachwa, kisa kikiwa kuwaeleza wenzao mambo yao ya ndani.
Tabia...
11 years ago
GPL
SIRI NJE: KADI GARI LA GURUMO ANAYO RUGE
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola
Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...
5 years ago
Bongo514 Feb
Vita dhidi ya waingizaji wa filamu ‘feki’ za nje nchini isihusishwe na siasa – JB
Ikiwa ni siku moja toka biashara ya filamu ‘feki’ za nje zipigwe marufuku mpaka pale wafanyabiashara wa filamu hizo watakapokamilisha taratibu za ulipaji wa kodi, mengi yameendelea kuibuka, ikiwa ni pamoja na wasanii ambao walihusika kwenye kampeni hiyo kuambiwa wanatumika kisisasa.
Jacob Stephan ‘JB’ akiwa na mashabiki wake wa filamu Kariakoo jijini Dar es salaam
Wasanii hao wakiongozwa na JB, Jumatano hii waliungana na ofisi ya Mkoa wa Dar es salaam kufanya opesheni hiyo ndani ya soko la...
9 years ago
CHADEMA Blog
WABUNGE WA UKAWA WATOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE