Gari liko sokoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-udcwI4mOfj0/VAh6hXyo3II/AAAAAAAGeBI/ksYgSCbZ96w/s72-c/unnameda.jpg)
Gari aina ya Toyota Rav4,liko sokoni kwa gharama nafuu kabisa au waweza sema ni karibu na bure.Gari iko kwenye hali nzuri sana. Gia ni automatic, mafuta inayotumia ni petrol, imetembea 128,000 km.
kwa atakayeihitaji,asasiliwane na ndugu kwenye Mawasiliano haya 0683 206230 Linavyoonekana kwa nyuma na ubavu wa kushoto.
ndani.
Mbele.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Basi la Stars liko sokoni
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2476792/highRes/844651/-/maxw/600/-/iwrx8oz/-/basi_starsss.jpg)
James Karinge ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mauzo na Masoko wa kampuni hiyo wa kanda kupitia wakili wake Benjamin Mwakagamba wa Kampuni ya Uwakili ya BM wameyapinga maombi hayo ya TFF kwa madai kuwa hayana msingi pamoja na maelezo ya kuwa utekelezaji wa deni hilo umekamilika.
KAMPUNI ya Punchlines Tanzania Limited imewasilisha hati kinzani Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara ikipinga maombi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ya kuomba ifanye mabadiliko ya kuliondoa basi lao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfN7rX67A8bwVbFptrdqEdeHagA5XVr-GnT3XOyFP*BMtC4TXlCRk9st7Ua5HSHyvL8g1S*hsSEi-fCvGStasPF/3.jpg?width=650)
GARI LA KANUMBA LADODA SOKONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3A8rUyA9jKORnOSjWHuJfAab2nIQ8lBloeWs3CeIUIEnoZ0sHzYrI75vMiWORweyPVvxMdLbyQuBM0CaWUHVOwxGy7R7j3G*/FRONTAMANI.jpg)
GARI LA GURUMO LAINGIA SOKONI
10 years ago
Bongo Movies12 Apr
Gari la Kanumba Lashindwa Kuuzika Sokoni
Ikiwa ni miaka mitatu sasa imepita tangu aliekuwa staa wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, inadaiwa kuwa gari alilokuwa akilitembelea aina ya Toyota Lexus lenye namba za usajili T750 AER limezidi kudoda sokoni.
Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti la Risasi kimepenyeza habari kuwa gari hilo lililonunuliwa na marehemu kwa shilingi milioni 78, linapatikana maeneo ya Msasani, jijini Dar kwenye jengo la mikopo ambapo linauzwa kwa bei chee ya shilingi milioni 18 hadi 14.
“Nilikuwa...
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Inashangaza, tatizo liko wapi?
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Sumaye: Taifa liko hatarini
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, ameonya taifa liko katika hatari ya kusambaratika ikiwa watanzania watadanganyika na kuwachagua viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao wanatumia nguvu kubwa ya fedha na...
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Nigeria:Jeshi lasema liko ngangari
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.