Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria:Jeshi lasema liko ngangari

Jeshi la Nigeria limesema kuwa litaendelea na harakati zake dhidi ya kundi la Boko Haram licha ya kundi hilo kuwaua wanajeshi na raia mwishoni mwa wiki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LIKO MSTARI WA MBELE KUHAMASISHA UCHANGIAJI DAMU

 Kuchangia damu ni kitendo cha kiungwana na hudhihirisha upendo, ambacho hufanywa kwa hiari bila malipo yoyote. Pichani ni kamanda wa polisi wa mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi Suzan Kaganda akichangia damu kudhihirisha upendo na kujali maisha ya Mama na mtoto.Wito kwa wananchi; tunaomba wajitokeze katika vituo vya Mpango wa Taifa wa damu salama ili waweze kuchangia damu. 
Kwa maelezo zaidi piga simu zifuatazo:

Kanda ya mashariki Dar-es-Salaam -0715-339282

Kanda ya magharibi Tabora...

 

10 years ago

Mwananchi

Msiba wa Kapt Komba: Bunge lasema

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram lasema linatii Islamic State

Kundi la Boko Haram nchini Nigeria limetoa kanda ya video inayothibitisha utiifu wao kwa kundi la Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lahamia Maiduguri

Jeshi la Nigeria limehamisha makao yake makuu hadi mji wa Maiduguri ilikukabiliana na wapiganaji wa Boko Haram

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu dhidi ya jeshi la Nigeria

Raia wana hasira dhidi ya majeshi ya taifa Nigeria baad ya watu 29 kuuawa na watu wenye silaha katika shule moja ya bweni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria

Rais wa Nigeria , Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi na kufanya mageuzi jeshini

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria 'lipo thabiti'

Rais Goodluck Jonathan amesema kuwa jeshi la nchi hiyo halijashindwa kuyazuia mashambulio ya kundi la wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chibok yakombolewa na jeshi la Nigeria

Msemaji wa jeshi la Nigeria aeleza kuwa Chibok imekombolewa na jeshi kutoka Boko Haram

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lavamia magazeti

Jeshi la Nigeria limevamia vituo vya kusambaza magazeti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani