Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghadhabu dhidi ya jeshi la Nigeria

Raia wana hasira dhidi ya majeshi ya taifa Nigeria baad ya watu 29 kuuawa na watu wenye silaha katika shule moja ya bweni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq lapiga hatua dhidi ya IS

majeshi ya nchi ya Iraq kwa mara nyingine tena, yamepiga hatua kubwa katika juhudi zao za kuutwa kabisa mji wa Tikrit kutoka kwa IS

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaonya dhidi ya kutumia jeshi

Kikao cha dharura cha umoja wa mataifa chajadili kudorora kwa usalama Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

India:Ghadhabu kwa ubakaji wa wasichana

Watu nchini India wamekerwa na kitendo cha polisi kumbagua babake mmoja wa wasichana waliobakwa na kuuawa kwa sababu ya tabaka lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu baada ya wauaji kuachiwa huru

Makundi ya wanawake Afghanistan yamelaani hatua ya mahakama kuwaachilia waliomuua Farkhunda

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAPOKEA VIFAA KINGA DHIDI YA CORONA.








Kamishna wa Polisi, Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP Shaban Hiki akipokea vifaa kinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona kutoka kwa Balozi wa kampeni ya Mikoni safi, Tanzania salama, Msanii Mrisho Mpoto (Mjomba), tukio lililofanyika katika makao makuu Jeshi la Polisi Ofisi ndogo Jijini Dar es Salaam.



Timu ya uhamasishaji kutoka Wizara ya Afya na Wadau kutoka Shirika lisilo Lakiserikali la Project CLEAR wakimsikiliza Kamishna wa Polisi, Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP...

 

5 years ago

Michuzi

Qwihaya yalikumbuka jeshi la Polisi vita dhidi ya corona


Abichi Masanga, Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilayani Mufindi akipokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona kutoka kwa Meneja wa Qwihaya General Enterprises Co Ltd, kampuni inayozalisha nguzo za umeme ya mjini Mafinga. Qwihaya kwa sasa inamiliki viwanda mkoani Iringa na Kugoma



Na Mwandishi wetu, Mafinga

Kampuni inayozalisha nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprise Co Ltd imelikumbuka jeshi la Polisi mjini Mafinga, Wilayani mfindi kwa kutoka vifaa vya kujikinga na maambukizi ya...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA WAJIVUNIA KUFIKIA MALENGO YA MILENIA 90-90-90 DHIDI YA VVU

 Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akisema jambo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya (hawapo pichani) wakati wa ziara katika Gereza Kuu la Arusha. ACP Dkt. Richard Mwankina akisoma taarifa ya Jeshi la Magereza kwa niaba ya Kamishna Generali wa Magereza Suleiman Mzee (hayupo pichani) kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya.   Mkurugenzi wa Huduma za Kinga kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Leonard Subi ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Stars ijipange dhidi ya Nigeria.

Kocha wa timu ya Tanzania,Mart Nooij amesema timu yake inahitaji kujituma zaidi ili iweze kufuzu kucheza AFCON 2017, Gabon.

 

10 years ago

Michuzi

ASASI YA "AIDS - free" KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Mkurugenzi wa Mradi wa "AIDS free", Bw. Samson Kironde(wa pili kushoto) akitoa maelezo mafupi namna mradi huo utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza na Polisi katika mazungumzo rasmi yaliyofanyika Ofsini kwa Kamishna Jenerali wa Magereza leo februari 20, 2015(wa pili kulia) ni Mkurugenzi wa Operesheni na Fedha, Bw. Mike Hames(wa kwanza kushoto) ni Afisa Mwandamizi anayeshughulikia masuala ya UKIMWI kutoka USAID, Bw. Erick Mlang'ha. Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani