Stars ijipange dhidi ya Nigeria.
Kocha wa timu ya Tanzania,Mart Nooij amesema timu yake inahitaji kujituma zaidi ili iweze kufuzu kucheza AFCON 2017, Gabon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA
Kikosi cha Taifa Stars. Taifa Stars imefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wake Namibia katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jijini Windhoek.
Stars ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofungwa na kiungo mwenye kipaji wa pembeni wa Azam FC, Hamis Mcha maarufu kama Vialli. Vialli alifunga bao hilo zikiwa zimebaki dakika tatu tu mpira kwisha, lakini wenyeji wakasawazisha katika dakika za nyongeza. Bao lao...
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Serikali ijipange kukabili mvua za El Nino
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imetoa tahadhari ambayo Serikali na taasisi zake zinapaswa kuifanyia kazi haraka iwezekanavyo. Mamlaka hiyo imesema Tanzania ni moja ya nchi kadhaa barani Afrika zitakazokumbwa na mvua za El Nino
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ghadhabu dhidi ya jeshi la Nigeria
Raia wana hasira dhidi ya majeshi ya taifa Nigeria baad ya watu 29 kuuawa na watu wenye silaha katika shule moja ya bweni.
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Nigeria na mikakati dhidi ya Boko Haram
Serikali ya Nigeria na nchi nyengine nne majirani zimekubaliana kuunda jeshi la pamoja ili kupambana na wapiganaji wa Boko Haram.
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Nigeria kutumia ndege dhidi ya Boko.H
Polisi nchini Nigeria, wanasema kuwa inanunua ndege tatu za kufuatilia shughuli za kundi la wapiganaji wa kiisilam la Boko Haram.
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria
Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.
10 years ago
Mwananchi12 Jul
MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi
Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Uandikishaji BVR umemalizika, NEC sasa ijipange upya
Mchakato wa kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura unamalizika leo jijini Dar es Salaam, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuongeza muda kutokana na wananchi wengi waliotaka kujiandikisha kuendelea kufurika katika vituo mbalimbali jijini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
kikosi cha Taifa Stars.Swaziland...
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania