Jeshi la Nigeria lavamia magazeti
Jeshi la Nigeria limevamia vituo vya kusambaza magazeti.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Lori lavamia msafara wa Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Maswa
MSAFARA wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, umenusurika kupata ajali, baada ya lori la mizigo kuuvamia na kugonga magari matatu likiwamo lililokuwa limembeba mpiga debe wa chama hicho, Amon Mpanju.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi katika eneo la Njia Panda jirani kilomita chache kabla ya kuingia Maswa mjini.
Akizungumza na MTANZANIA , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Gemin Mushi alikiri kutokea kwa tukio hilo.
Alisema wakati...
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Al shabaab lavamia hoteli mbili Somalia
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ghadhabu dhidi ya jeshi la Nigeria
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Jeshi la Nigeria 'lipo thabiti'
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Chibok yakombolewa na jeshi la Nigeria
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Jeshi la Nigeria lahamia Maiduguri
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Amnesty yakosoa jeshi la Nigeria
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-57meF_9eJoI/Xs0NAmB0K5I/AAAAAAALrl8/f7tJ-AFD87cXVLWSTJm7Gyn_SZXKPRQtQCLcBGAsYHQ/s72-c/picha%2Bya%2Btembo.jpeg)
WIMBI LA TEMBO LAVAMIA MAENEO YA KATA YA KIWANGWA, KANDO YA MTO WAMI-MALOTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-57meF_9eJoI/Xs0NAmB0K5I/AAAAAAALrl8/f7tJ-AFD87cXVLWSTJm7Gyn_SZXKPRQtQCLcBGAsYHQ/s640/picha%2Bya%2Btembo.jpeg)
WIMBI la wanyama aina ya tembo ,limevamia baadhi ya maeneo yaliyopo kando ya mto Wami ,kata ya Kiwangwa ,Chalinze wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani hali inayosababisha uharibifu wa mazao na hasara kubwa kwa wakulima wa maeneo hayo.
Hii ni mara ya tano kutokea kwa wimbi la wanyama tembo ambapo kila mwaka wamekuwa wakijitokeza wakitokea mbuga ya wanyama ya Saadan na kupitia kando ya mto Wami na kuingia kwenye maeneo ya wananchi.
Diwani wa kata ya Kiwangwa Malota Kwaga...