Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi la Nigeria lavamia magazeti

Jeshi la Nigeria limevamia vituo vya kusambaza magazeti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lori lavamia msafara wa Magufuli

g3Na Bakari Kimwanga, Maswa

MSAFARA wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, umenusurika kupata ajali, baada ya lori la mizigo kuuvamia na kugonga magari matatu likiwamo lililokuwa limembeba mpiga debe wa chama hicho, Amon Mpanju.

Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi katika eneo la Njia Panda jirani  kilomita chache kabla ya kuingia Maswa mjini.

Akizungumza na MTANZANIA , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Gemin Mushi alikiri kutokea kwa tukio hilo.

Alisema wakati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab lavamia hoteli mbili Somalia

Wapiganaji wa kundi la Alshabaab wamevamia hoteli mbili katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu dhidi ya jeshi la Nigeria

Raia wana hasira dhidi ya majeshi ya taifa Nigeria baad ya watu 29 kuuawa na watu wenye silaha katika shule moja ya bweni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria 'lipo thabiti'

Rais Goodluck Jonathan amesema kuwa jeshi la nchi hiyo halijashindwa kuyazuia mashambulio ya kundi la wapiganaji wa Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chibok yakombolewa na jeshi la Nigeria

Msemaji wa jeshi la Nigeria aeleza kuwa Chibok imekombolewa na jeshi kutoka Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lahamia Maiduguri

Jeshi la Nigeria limehamisha makao yake makuu hadi mji wa Maiduguri ilikukabiliana na wapiganaji wa Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty yakosoa jeshi la Nigeria

Shirika la Amnesty International, limelishutumu jeshi la Nigeria kwa kushindwa kuwalinda raia katika mji wa Baga dhidi ya Boko Haram

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa jeshi watimuliwa Nigeria

Rais wa Nigeria , Goodluck Jonathan, amewafuta kazi makamanda wake wakuu wa jeshi na kufanya mageuzi jeshini

 

5 years ago

Michuzi

WIMBI LA TEMBO LAVAMIA MAENEO YA KATA YA KIWANGWA, KANDO YA MTO WAMI-MALOTA

 NA MWAMVUA MWINYI, CHALINZE
WIMBI la wanyama aina ya tembo ,limevamia baadhi ya maeneo yaliyopo kando ya mto Wami ,kata ya Kiwangwa ,Chalinze wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani hali inayosababisha uharibifu wa mazao na hasara kubwa kwa wakulima wa maeneo hayo.
Hii ni mara ya tano kutokea kwa wimbi la wanyama tembo ambapo kila mwaka wamekuwa wakijitokeza wakitokea mbuga ya wanyama ya Saadan na kupitia kando ya mto Wami na kuingia kwenye maeneo ya wananchi.
Diwani wa kata ya Kiwangwa Malota Kwaga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani