WIMBI LA TEMBO LAVAMIA MAENEO YA KATA YA KIWANGWA, KANDO YA MTO WAMI-MALOTA

NA MWAMVUA MWINYI, CHALINZE
WIMBI la wanyama aina ya tembo ,limevamia baadhi ya maeneo yaliyopo kando ya mto Wami ,kata ya Kiwangwa ,Chalinze wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani hali inayosababisha uharibifu wa mazao na hasara kubwa kwa wakulima wa maeneo hayo.
Hii ni mara ya tano kutokea kwa wimbi la wanyama tembo ambapo kila mwaka wamekuwa wakijitokeza wakitokea mbuga ya wanyama ya Saadan na kupitia kando ya mto Wami na kuingia kwenye maeneo ya wananchi.
Diwani wa kata ya Kiwangwa Malota Kwaga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR

BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi
KIKWANGUA ANGA KANDO KANDO YA MTO UNAOKATIZA BONDE LA JANGWANI JIJINI DAR


5 years ago
CCM Blog
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)

11 years ago
Michuzi
TASWIRAZZZ JIONI YA LEO MAENEO YA KIWANGWA,BAGAMOYO


11 years ago
Michuzi
KAMPENI ZA CCM KATIKA KATA YA KIWANGWA NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO


11 years ago
Michuzi
SHERIA GANI INATUMIKA KURUHUSU UHIFADHI TAKA WA AINA HII,KANDO KANDO YA BARABARA KUU??

11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ATEMBELEA WANANCHI WAISHIO KANDO KANDO YA BANDARI YA KASANGA,WILAYA MPYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA



