WIMBI LA TEMBO LAVAMIA MAENEO YA KATA YA KIWANGWA, KANDO YA MTO WAMI-MALOTA
NA MWAMVUA MWINYI, CHALINZE
WIMBI la wanyama aina ya tembo ,limevamia baadhi ya maeneo yaliyopo kando ya mto Wami ,kata ya Kiwangwa ,Chalinze wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani hali inayosababisha uharibifu wa mazao na hasara kubwa kwa wakulima wa maeneo hayo.
Hii ni mara ya tano kutokea kwa wimbi la wanyama tembo ambapo kila mwaka wamekuwa wakijitokeza wakitokea mbuga ya wanyama ya Saadan na kupitia kando ya mto Wami na kuingia kwenye maeneo ya wananchi.
Diwani wa kata ya Kiwangwa Malota Kwaga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziHIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR
BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzimtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziKIKWANGUA ANGA KANDO KANDO YA MTO UNAOKATIZA BONDE LA JANGWANI JIJINI DAR
5 years ago
CCM BlogGARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)
Kutoka Daraja la Wami, zimetokea ajali mbili tofauti ambazo hazijapishana sana, moja ni ya Lori ambalo lilifeli breki na kutumbukia Mtoni na bado halijatolewa huku ikiaminika kuwa Dereva bado yupo ndani ya Lori hilo chini ya maji tangu Ijumaa June 05, 2020 ajali ilipotokea, wenzake wawili tayari wameokolewa .Wakati Watu wakiwa wamejaa kushuhudia ajali hiyo ghafla Lori jingine pia likafeli breki na kuua Watu wawili (Mama na Mtoto) kisha kuyazoa magari zaidi ya sita ambayo yote yameharibika...
11 years ago
MichuziTASWIRAZZZ JIONI YA LEO MAENEO YA KIWANGWA,BAGAMOYO
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KATIKA KATA YA KIWANGWA NDANI YA JIMBO LA CHALINZE LEO
11 years ago
MichuziSHERIA GANI INATUMIKA KURUHUSU UHIFADHI TAKA WA AINA HII,KANDO KANDO YA BARABARA KUU??
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,KINANA ATEMBELEA WANANCHI WAISHIO KANDO KANDO YA BANDARI YA KASANGA,WILAYA MPYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA