SHERIA GANI INATUMIKA KURUHUSU UHIFADHI TAKA WA AINA HII,KANDO KANDO YA BARABARA KUU??
![](http://3.bp.blogspot.com/-nUyBPLoCMdY/U2eNE8ZjoJI/AAAAAAAFfqE/MtFyxPf80GQ/s72-c/MMGS4579.jpg)
Kamera ya Globu ya Jamii,mchana wa leo imepita kwenye barabara ya Morogoro rodi kuanzia Magomeni mpaka Shekilango na kukuta malundo ya taka ngumu yakiwa yamekusanywa kwa mafungu mafungu namna hii.hapo ndipo swali likanijia,kwamba hivi uhifadhi taka wa namna hii umeruhusiwa kisheria ama ni ndio mambo yetu yake yale kuleana.?? na kama ni Sheria ni ipi inayoruhusu uchafuzi wa mazingira namna hii?? nilijikuta nikikosa majibu na ndipo ilipobidi kuja na mada hii hapa Globu ya Jamii ili tuweze...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s72-c/100_1392%2Bcopy.jpg)
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s1600/100_1392%2Bcopy.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iSVNcG5DtvM/U2ikHRVy3cI/AAAAAAAFf3Q/HidWx4pM2Lw/s72-c/24.jpg)
KIKWANGUA ANGA KANDO KANDO YA MTO UNAOKATIZA BONDE LA JANGWANI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSVNcG5DtvM/U2ikHRVy3cI/AAAAAAAFf3Q/HidWx4pM2Lw/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sd-LYax8Q2M/U2ikLaanlXI/AAAAAAAFf3Y/h8PaGN-3lpk/s1600/25.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RsRm2wtmTPM/Uzzk23wDzuI/AAAAAAACd-w/yqgs4m2EKOA/s72-c/6.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ATEMBELEA WANANCHI WAISHIO KANDO KANDO YA BANDARI YA KASANGA,WILAYA MPYA YA KALAMBO MKOANI RUKWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RsRm2wtmTPM/Uzzk23wDzuI/AAAAAAACd-w/yqgs4m2EKOA/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F11b2r22J8E/Uzzk1DMJgXI/AAAAAAACd-o/7hPOLqQj-qc/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-09joORf1nM0/UzzkpgoGN4I/AAAAAAACd9o/g8T42PoGAv4/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-x_ug8E2DfHI/UzzkrW2lcZI/AAAAAAACd94/jrs7pV37vRw/s1600/19.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mIdbSpxPLFI/VNxNrBVGAzI/AAAAAAAHDQg/JeLSOU_bl3o/s72-c/DSCF3890.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s72-c/8.jpg)
HABARI ZA KAMATI KUU YA CCM KUMUWEKA KANDO KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI NDUGU NAPE NNAUYE SI ZA KWELI
![](http://2.bp.blogspot.com/-T3QyN1wy9QI/VdGufR4qXXI/AAAAAAAAkQ0/sYzIpwxzIBQ/s640/8.jpg)
Ndugu Msomaji, kuna taarifa za uongo zimeenezwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii zikisema kuwa Kamati kuu ya CCM imemuweka kando Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye kutoka katika nafasi hiyo na kumteua Ndugu John Chiligati kushika wadhifa huo.
Taarifa hizo si za kweli kwani Kamati kuu haijafanya...
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Walio na 'mipango ya kando' mashakani
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
AU yajiweka kando uchaguzi wa Burundi
10 years ago
Habarileo26 Mar
‘Wekeni kando ushabiki wa kisiasa’
WAKAZI wa Moshi Vijijini wametakiwa kuweka ushabiki wa kisiasa kando na badala yake kuangalia maslahi yao ili waweze kupiga hatua za maendeleo kwa haraka.
9 years ago
Habarileo28 Aug
Lundenga ajiweka kando Miss Tanzania
KAMPUNI ya Lino International Agency Limited ambao ni waandaaji wa shindano la kusaka mlimbwende wa Tanzania maarufu Miss Tanzania imeteua kamati mpya itakayoandaa, kuratibu na kusimamia mashindano hayo.