Lori lavamia msafara wa Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Maswa
MSAFARA wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, umenusurika kupata ajali, baada ya lori la mizigo kuuvamia na kugonga magari matatu likiwamo lililokuwa limembeba mpiga debe wa chama hicho, Amon Mpanju.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi katika eneo la Njia Panda jirani kilomita chache kabla ya kuingia Maswa mjini.
Akizungumza na MTANZANIA , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Gemin Mushi alikiri kutokea kwa tukio hilo.
Alisema wakati...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
LORI LATEKETEA KWA MOTO BAADA YA KUGONGANA NA LORI LINGINE
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Al shabaab lavamia hoteli mbili Somalia
5 years ago
Michuzi
WIMBI LA TEMBO LAVAMIA MAENEO YA KATA YA KIWANGWA, KANDO YA MTO WAMI-MALOTA

WIMBI la wanyama aina ya tembo ,limevamia baadhi ya maeneo yaliyopo kando ya mto Wami ,kata ya Kiwangwa ,Chalinze wilaya ya Bagamoyo,mkoani Pwani hali inayosababisha uharibifu wa mazao na hasara kubwa kwa wakulima wa maeneo hayo.
Hii ni mara ya tano kutokea kwa wimbi la wanyama tembo ambapo kila mwaka wamekuwa wakijitokeza wakitokea mbuga ya wanyama ya Saadan na kupitia kando ya mto Wami na kuingia kwenye maeneo ya wananchi.
Diwani wa kata ya Kiwangwa Malota Kwaga...
10 years ago
Michuzi
MSAFARA WA KIGAMBONI

10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Msafara wa baiskeli Tanzania
10 years ago
Mwananchi14 Aug
Polisi yazuia msafara wa Lowassa
10 years ago
Mwananchi16 Aug
Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu