JESHI LA POLISI LIKO MSTARI WA MBELE KUHAMASISHA UCHANGIAJI DAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-MctoG5uLFKA/VIqRUeJek9I/AAAAAAAG2sA/L5Imi0aZKWI/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Kuchangia damu ni kitendo cha kiungwana na hudhihirisha upendo, ambacho hufanywa kwa hiari bila malipo yoyote. Pichani ni kamanda wa polisi wa mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi Suzan Kaganda akichangia damu kudhihirisha upendo na kujali maisha ya Mama na mtoto.Wito kwa wananchi; tunaomba wajitokeze katika vituo vya Mpango wa Taifa wa damu salama ili waweze kuchangia damu.
Kwa maelezo zaidi piga simu zifuatazo:
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s72-c/IMG_2508.jpg)
KUFUATIA MUAMKO HAFIFU WA UCHANGIAJI DAMU MKOANI RUKWA KUTOKANA NA DHANA POTOFU ZILIZOPO, MADAKTARI WAONYESHA MFANO KWA KUCHANGIA DAMU KATIKA HOSPITALI KUU YA MKOA HUO
![](http://3.bp.blogspot.com/-b_As5MMU8o8/U9TzsH1No4I/AAAAAAAAFt4/3LXCcf3qBHA/s1600/IMG_2508.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s72-c/ddm.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAMSAKA ANAYESAMBAZA VIPEPERUSHI VINAVYOTISHIA NA KUHAMASISHA UVUNJIFU WA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s1600/ddm.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tarehe 25/09/2014 alfajiri vimeokotwa vipeperushi maeneo mbalimbali mjini Dodoma vyenye ujumbe ufuatao ONYO – DODOMA SI MAHALI PA KUFUGA WEZI WA FEDHA ZA UMMA. UTAKAYEINGIA BUNGENI KUANZIA KESHO, YATAKAYOKUPATA UTAJUTA.
Kamanda MISIME amesema tumeendelea kupokea taarifa za watu wanaodaiwa kuandaa vipeperushi hivyo na tunafanyia kazi ili tuweze...
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
UN yaisifu Tanzania kuwa mstari wa mbele kutetea albino
Baadhi ya watu wenye ulemavu wakipita na mabango yenye ujumbe katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Arusha kwa maandamano kwenye maadhimisho ya Siku yao ambayo inalenga kutoa elimu ya kupinga matendo maovu wanayofanyiwa na watu wenye nia mbaya.(Picha na modewjiblog)
Na Mwandishi wetu, Arusha
MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mkurugenzi wa Shirika la Mpango wa maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodgriguez amepongeza Tanzania kwa kuwa mstari wa mbele kushawishi dunia siku ya...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/UN-12.jpg?width=640)
UN YAISIFU TANZANIA KUWA MSTARI WA MBELE KUTETEA ALBINO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iuB_w20-8Q4/VDaxPeyqspI/AAAAAAAASNc/4wITkEIKILk/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUTENDA HAKI MUFINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-iuB_w20-8Q4/VDaxPeyqspI/AAAAAAAASNc/4wITkEIKILk/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qYR4M0lFOyU/VDaxQFPSbHI/AAAAAAAASNo/0zcv6b_goPg/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rzFpKRosK8/VDaxQQaTDpI/AAAAAAAASNs/xmgy__uGhdY/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MvjMf4Ci8ag/VDaxQ81LNdI/AAAAAAAASNw/T2xAi41VlO0/s1600/8.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vipUnS7kw4M/VmljhDV_DeI/AAAAAAAAIXw/dOj3LsfIzvk/s72-c/Apollo%2BHospitals.jpg)
HOSPITALI ZA APOLLO MSTARI WA MBELE KUOKOA MAISHA YA WAHANGA WA MAFURIKO MJINI CHENNAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vipUnS7kw4M/VmljhDV_DeI/AAAAAAAAIXw/dOj3LsfIzvk/s640/Apollo%2BHospitals.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RZ_AQu_d52U/Vmljgo2iT2I/AAAAAAAAIXs/igib2_y0jNM/s1600/Preetha.jpg)
Na Mwandishi Wetu,CHENNAI ni jiji la tano kwa ukubwa nchini India, jiji hilo limepigwa na janga kubwa la mafuriko ambayo hayajawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, mafuriko hayo yameliacha jiji hilo likiwa hoi na taabani.
Mafuriko hayo ya kihistoria yalisababisha jiji hilo kukosa huduma muhimu kama umeme, maji safi, chakula, usafiri na mahitaji mengine ya msingi. Idadi ya wagonjwa wengi wameripotiwa kufariki baada ya maji ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s72-c/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
MSAJILI MKUU WA MAHAKAMA AWATAKA MAWAKILI NA WATUMISHI KUWA MSTARI WA MBELE KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gaMM8kI94yk/Xphwk495LDI/AAAAAAALnMQ/SfoIAlLVdwAjxdo3U4JTX512hSk1o1cwACLcBGAsYHQ/s640/375af72e-a1e8-4b33-8647-7501dfff4575.jpg)
Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe.Wilbert Chuma akizungumzia kuhusu matumizi ya mfumo wa kusajili mashauri kwa njia mtandao.
***************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha- Mahakama
Watumishi wa Mahakama ya Tanzania na Mawakili wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kupunguza msongamano wa watu mahakamani, kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona na kuokoa gharama za utoaji haki.
Akizungumza leo ofisini...
11 years ago
MichuziKampeni ya Uchangiaji damu iliyoendeshwa na Diwani wa Kipawa,Mh. Bonna Kaluwa yafikia tamati leo