JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAMSAKA ANAYESAMBAZA VIPEPERUSHI VINAVYOTISHIA NA KUHAMASISHA UVUNJIFU WA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s72-c/ddm.jpg)
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tarehe 25/09/2014 alfajiri vimeokotwa vipeperushi maeneo mbalimbali mjini Dodoma vyenye ujumbe ufuatao ONYO – DODOMA SI MAHALI PA KUFUGA WEZI WA FEDHA ZA UMMA. UTAKAYEINGIA BUNGENI KUANZIA KESHO, YATAKAYOKUPATA UTAJUTA.
Kamanda MISIME amesema tumeendelea kupokea taarifa za watu wanaodaiwa kuandaa vipeperushi hivyo na tunafanyia kazi ili tuweze...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-He6qpWS2SFg/VVSa0RogBqI/AAAAAAAHXSE/H8y9ftjHeQw/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma lawataka Viongozi kuwaelimisha wananchi juu ya matishio na viashilia vya uvunjifu wa sheria na amani
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha wananchi wanaowaongoza na wanaofanya kazi chini yao juu ya matishio na viashilia vya uvunjifu wa sheria na amani ili wote waweze kuwa na uelewa wa pamoja kuvibaini, kuvizuia na kuvitolea taarifa kwa vyombo vya dola waweze kuwakamata wahusika na kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria.
Ameyasema hayo...
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqar-DStuMUKPggOwnVEtvmnB825*WQu47yKEU3Br0T1db3eWugD768vZ-Dguv5jnv97sxXjL0VlUv6aYxNJbHdpN/kamanda.jpg?width=650)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAZUIA MAANDAMANO YALIYOPANGWA NA CHADEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-68EFhimZBTA/VBmiDQuGg0I/AAAAAAAGkJQ/g7qhuWXfYQQ/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s72-c/SHANA-NA-LEMA.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA ARUSHA LATOA ONYO KWA WAVURUGA AMANI PAMOJA NA MADEREVA WALEVI NA WASIOZINGATIA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pt9nsq0us3I/XsisLu6bYuI/AAAAAAAEHTM/iwG2Gn0qp5UwwfPRG-PZQ0Om5r0d92ChwCLcBGAsYHQ/s320/SHANA-NA-LEMA.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Arusha limetoa onyo kwa watu wachache wanaopenda kuvuruga amani katika kipindi cha sikukuu na kuwataka waache mara moja kuwa na fikra hizo kwani watachukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Kamanda wa polisi mkoani hapa Jonathan Shana amesema kuwa kwa upande wa madereva wa vyombo vya usafiri ni marufuku kuendesha vyombo hivyo wakiwa wamelewa ,mwendokasi pamoja na kujaza abiria kupita kiasi kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yaoAidha...
11 years ago
Michuzi17 May
MTU MMOJA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA KUSABABISHA AJALI NA KIFO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XGhZd99YKeQ/VIw4QNl7W9I/AAAAAAAAZTs/rSLJ7lyDihg/s72-c/David-Misime.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 13/12/2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-XGhZd99YKeQ/VIw4QNl7W9I/AAAAAAAAZTs/rSLJ7lyDihg/s1600/David-Misime.jpg)
Nataka kuwahakikishia wananchi wote wa mkoa wa Dodoma kwamba Polisi tumejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kusimamia usalama siku hiyo. Hivyo wananchi wajitokeze kupiga kura na wala wasiwe na hofu kwani ulinzi utaimarishwa katika vituo vyote vya kupigia kura na maeneo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Polisi Kagera watoa tahadhari uvunjifu wa amani Pasaka
JESHI la Polisi Kagera kwa kushirikiana na vyombo vya usalama, limejipanga kuhakikisha hakuna vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza katika Sikukuu ya Pasaka. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Kagera,...
11 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...