Polisi Kagera watoa tahadhari uvunjifu wa amani Pasaka
JESHI la Polisi Kagera kwa kushirikiana na vyombo vya usalama, limejipanga kuhakikisha hakuna vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza katika Sikukuu ya Pasaka. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Kagera,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi yatoa tahadhari Sikukuu Pasaka
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s72-c/ddm.jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAMSAKA ANAYESAMBAZA VIPEPERUSHI VINAVYOTISHIA NA KUHAMASISHA UVUNJIFU WA AMANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-TxHdkB5Oo0E/VCQbF4cySyI/AAAAAAAGluk/6jxWiXBsbtE/s1600/ddm.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tarehe 25/09/2014 alfajiri vimeokotwa vipeperushi maeneo mbalimbali mjini Dodoma vyenye ujumbe ufuatao ONYO – DODOMA SI MAHALI PA KUFUGA WEZI WA FEDHA ZA UMMA. UTAKAYEINGIA BUNGENI KUANZIA KESHO, YATAKAYOKUPATA UTAJUTA.
Kamanda MISIME amesema tumeendelea kupokea taarifa za watu wanaodaiwa kuandaa vipeperushi hivyo na tunafanyia kazi ili tuweze...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-He6qpWS2SFg/VVSa0RogBqI/AAAAAAAHXSE/H8y9ftjHeQw/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma lawataka Viongozi kuwaelimisha wananchi juu ya matishio na viashilia vya uvunjifu wa sheria na amani
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha wananchi wanaowaongoza na wanaofanya kazi chini yao juu ya matishio na viashilia vya uvunjifu wa sheria na amani ili wote waweze kuwa na uelewa wa pamoja kuvibaini, kuvizuia na kuvitolea taarifa kwa vyombo vya dola waweze kuwakamata wahusika na kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria.
Ameyasema hayo...
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
11 years ago
Habarileo31 Dec
Epukeni uvunjifu wa amani -Makamba
WANANCHI mkoani Kagera wameaswa kulinda amani kwa kuepuka uvunjifu wa amani, kutokana na tofauti za kidini au kisiasa.
10 years ago
Habarileo17 Apr
Viashiria uvunjifu amani vyajitokeza
VIASHIRIA vya uvunjifu wa amani, vimeanza kujitokeza nchini katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
9 years ago
Habarileo21 Aug
Washauriwa kuepuka uvunjifu wa amani
WATANZANIA wameshauriwa kujiepusha na viashiria vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu.
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Kikwete atahadharisha kauli za uvunjifu wa amani
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Vijana 8 mbaroni kwa uvunjifu wa amani
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata vijana nane waliojihusisha na matukio ya uvunjifu wa amani katika maeneo ya Kigogo, Ilala Boma na Buguruni, huku likiahidi kuendeleza...