Washauriwa kuepuka uvunjifu wa amani
WATANZANIA wameshauriwa kujiepusha na viashiria vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV31 Dec
Viongozi wa Dini waaswa kutohubiri uchochezi Kuepuka Uvunjifu Wa Amani
Baadhi ya viongozi wa Dini nchini wametakiwa kuepuka kutumia nyumba za ibaada kuhubiri uchochezi na kutoa utabiri wa mambo yenye maslahi kwa Taifa kwani yanaweza kuleta madhara makubwa kwa jamii.
Kauli hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Muungano wa makanisa ya kipentecoste Tanzania (MMPT) Erasto Makala katika Ibaada takatifu ya kumsimika mchungaji kiongozi wa mission ya Nzega Yeftha Sang`udi kwa makanisa ya pentecoste yaliyopo kwenye ...
9 years ago
StarTV18 Sep
Wananchi watakiwa kuepuka uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu
Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko juu ya uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na baadhi ya watu kufanya vitendo vyenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani.
Zaidi ya matukio 107 yameripotiwa katika vituo vya polisi na 38 tayari yamefunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani yakiwa na jumla ya watuhumiwa 52.
Akitoa tamko hilo msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi SSP Advera Bulimba amesema katika kipindi hiki cha kampeni na kuelekea uchaguzi mkuu...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Viashiria uvunjifu amani vyajitokeza
VIASHIRIA vya uvunjifu wa amani, vimeanza kujitokeza nchini katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Habarileo31 Dec
Epukeni uvunjifu wa amani -Makamba
WANANCHI mkoani Kagera wameaswa kulinda amani kwa kuepuka uvunjifu wa amani, kutokana na tofauti za kidini au kisiasa.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Vijana 8 mbaroni kwa uvunjifu wa amani
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata vijana nane waliojihusisha na matukio ya uvunjifu wa amani katika maeneo ya Kigogo, Ilala Boma na Buguruni, huku likiahidi kuendeleza...
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Kikwete atahadharisha kauli za uvunjifu wa amani
9 years ago
StarTV22 Sep
CCM Iringa chalalamikia uvunjifu wa amani
Wakati kampeni zikizidi kupamba moto Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimelalamikia matukio ya uvunjifu wa amani ambayo yamejitokeza katika mikutano ya kampeni hivyo kikiwataka viongozi wa kisiasa kuendesha siasa za kistaarabu zenye dira ya demokrasia itakayotunza tunu za Taifa.
CCM kimesema matukio hayo kwa kiwango kikubwa yameendeshwa na baadhi ya vijana ambao wanatumiwa kuvuruga amani jambo ambalo halipaswi kuvumiliwa.
katika mkutano wa hadhara wa chama cha mapinduzi CCM katika...
9 years ago
Habarileo04 Nov
RC Dar aonya wanaoamsha hisia za uvunjifu wa amani
VIONGOZI wa vyama vya siasa wametakiwa kuheshimu Katiba ya nchi kwa kuacha kuendeleza mgogoro na kuamsha viashiria vya uvunjifu wa amani ya nchi kwa madai ya kutokukubaliana na matokeo ya Urais yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
11 years ago
Habarileo12 Feb
Sumaye: Uvunjifu wa amani ni hatari kwa nchi
JAMII imehadharishwa dhidi ya uvunjifu wa amani kuwa ni hatari kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na watu kwa ujumla. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye alisema hali ya utulivu ni chachu katika kukuza uchumi.