Basi la Stars liko sokoni
Bais la Taifa Stars
James Karinge ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mauzo na Masoko wa kampuni hiyo wa kanda kupitia wakili wake Benjamin Mwakagamba wa Kampuni ya Uwakili ya BM wameyapinga maombi hayo ya TFF kwa madai kuwa hayana msingi pamoja na maelezo ya kuwa utekelezaji wa deni hilo umekamilika.
KAMPUNI ya Punchlines Tanzania Limited imewasilisha hati kinzani Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara ikipinga maombi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ya kuomba ifanye mabadiliko ya kuliondoa basi lao...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-udcwI4mOfj0/VAh6hXyo3II/AAAAAAAGeBI/ksYgSCbZ96w/s72-c/unnameda.jpg)
Gari liko sokoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-udcwI4mOfj0/VAh6hXyo3II/AAAAAAAGeBI/ksYgSCbZ96w/s1600/unnameda.jpg)
kwa atakayeihitaji,asasiliwane na ndugu kwenye Mawasiliano haya 0683 206230
![](http://2.bp.blogspot.com/-FDMqGJ9eXd8/VAh6hXunTFI/AAAAAAAGeBA/S_36uvDePGk/s1600/unnamedb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8yKaLX70xe0/VAh6hmkCN5I/AAAAAAAGeBE/xdk8jHOTz50/s1600/unnamedc.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LdsNDyuXaPo/VAh6iWGXBsI/AAAAAAAGeBM/BZnp7cRh-r4/s1600/unnamedd.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9HiwYjh1Yiw/VNw_Jo4gVtI/AAAAAAAAGSY/htBJS5aFDME/s72-c/hot%2Bblack%2Bcouple.jpg)
Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo liko wapi
![](http://4.bp.blogspot.com/-9HiwYjh1Yiw/VNw_Jo4gVtI/AAAAAAAAGSY/htBJS5aFDME/s640/hot%2Bblack%2Bcouple.jpg)
Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day.Aliandika hivi: “Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nimekaa kwa muda mrefu bila kuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Sumaye: Taifa liko hatarini
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, ameonya taifa liko katika hatari ya kusambaratika ikiwa watanzania watadanganyika na kuwachagua viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao wanatumia nguvu kubwa ya fedha na...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Inashangaza, tatizo liko wapi?
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Nigeria:Jeshi lasema liko ngangari
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Maria Nyerere: Taifa liko njia panda
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema malumbano yaliyoibuka kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya linalifanya taifa kuwa njia panda.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Msasani Dar es Salaam jana, Mama Maria alisema suala hilo ni zito kwa sababu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba ilikuwa na mikakati mizuri lakini baadaye Bunge Maalumu la Katiba likaja na yake.
Alisema yote hayo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n1QlXetgYf0/Vjm3mD3zOAI/AAAAAAAAvgI/lSP9KTbCsSc/s72-c/12185162_10205098848207767_6221466235646217146_o.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-GUszT2dySxk/U84MVo69zRI/AAAAAAAABak/7TyyNtaehu0/s72-c/PAGE+1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI768TIb6Y8bh7fl3KWhcUBQlOujnZHvh-teEMPlUJj*GaDAeoo4J9NVkm-yVXFQdc-vIplJ5OkHeP9c3MDS-qn/Love.jpg)
KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?