Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais
*awahimiza wananchi kujiandikisha kwa wingi daftari la wapiga kura
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
CCM: Marufuku kutangaza nia ya kugombea urais
Na Ally Ndota, Zanzibar
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonya viongozi na watendaji wake kuacha tabia ya kuwabeba wana-CCM wanaotangaza nia ya kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao, kwani kufanya hivyo ni kukiuka kanuni na miongozo ya Chama.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar), Vuai Ali Vuai ametoa onyo hilo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kamati za Siasa za Mkoa na Wilaya za Kichama za Mjini na Amani, ikiwa ni mfululizo wa ziara ya wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya NEC,...
10 years ago
VijimamboProfesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano
Leo ni zamu ya Profesa Sospeter Muhongo kutangaza nia ya kuombwa kugombea urais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, kurithi mikoba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Profesa Muhongo anatangaza nia yake leo Mjini Musoma, kwenye Ukumbi wa Open University Hall, kuanzia saa 10 jioni.
10 years ago
MichuziMaandalizi ya hafla ya Mh Samuel Sitta kutangaza nia ya kugombea urais yaiva mkoani Tabora leo.
Habari na picha kwa hisani ya Mkala Fundikira wa TBN central zone
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Tamko rasmi la Dkt. Hamisi Kigwangalla Habari la Kutangaza Nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEFQUqercMI/VA9P7H3WZcI/AAAAAAAGiSk/uAglWUY1aes/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s72-c/IMG_2939.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s640/IMG_2939.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiUj_0ep2PI/VWrcMsT6z6I/AAAAAAAAsiA/N-Ge1Ktfbbw/s640/IMG_2950.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VZP2AenmpJE/VWrcQS6rDPI/AAAAAAAAsiI/Yd7V--OlhHM/s640/IMG_2952.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCrZE9XEVu8/VWrcS567LCI/AAAAAAAAsiY/xgubCPYv-5A/s640/IMG_2953.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wojAft-SCcg/VWrcVKyifMI/AAAAAAAAsig/M3MLMzkBRCU/s640/IMG_2963.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bZQb6ovUbHA/VWrcW_lROVI/AAAAAAAAsio/PdOZCIBkRYM/s640/IMG_2964.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KuhHc0avh74/VWrcaf9xf1I/AAAAAAAAsiw/4j0-wWGwBgk/s640/IMG_2974.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qmLemxtETwo/VWrcdFPLT5I/AAAAAAAAsi4/r_hab0pbFpY/s640/IMG_2979.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--6F-Fc-WzG0/VWrcfajRN2I/AAAAAAAAsjA/L6tw6mlG9wg/s640/IMG_2981.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmUS4W9sJoc/VWrchl8YhHI/AAAAAAAAsjI/OTL7qboe1OI/s640/IMG_2989.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AUyIyYHz5JY/VWrcj25UJtI/AAAAAAAAsjQ/gNANXpmZMBk/s640/IMG_2999.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Watu zaidi ya 700 waandamana kwenda kwa Lowassa kumshawishi atangaze nia ya kugombea Urais 2015
Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la Monduli hii leo.
![SAM_4318](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/SAM_4318.jpg)
Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la Monduli.
![SAM_4337](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/SAM_4337.jpg)
Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi Waziri Mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s72-c/IMG_2939.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s640/IMG_2939.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCrZE9XEVu8/VWrcS567LCI/AAAAAAAAsiY/xgubCPYv-5A/s640/IMG_2953.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmUS4W9sJoc/VWrchl8YhHI/AAAAAAAAsjI/OTL7qboe1OI/s640/IMG_2989.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AUyIyYHz5JY/VWrcj25UJtI/AAAAAAAAsjQ/gNANXpmZMBk/s640/IMG_2999.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s72-c/download%2B(5).jpg)
Hotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-q-tycRCDJkE/VDRxGaOBvEI/AAAAAAAGomc/aFwX7Ej_zYE/s1600/download%2B(5).jpg)
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...