Henry, Berko wamgomea Logarusic
Na John Joseph, Tanga WACHEZAJI wakongwe wa Simba, Henry Joseph na Yaw Berko, jana walisusa kwenda kwenye vyumba baada ya kipenga cha mapumziko kupulizwa. Wachezaji hao ambao wote hawakuanza kwenye mchezo dhidi ya Mgambo ambao timu yao ililala kwa bao 1-0, waligoma kwenda kwenye vyumba kama inavyotakiwa huku wakibaki wamekaa kwenye benchi wakilalamika. Wachezaji hao walionyesha kuwa kuna hali ya mambo ambayo haiendi vizuri kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Kipa Berko awatoa shaka Simba
11 years ago
GPLYaw Berko agoma kurejea kwao
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Madiwani wamgomea DC
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Ukawa wamgomea Kikwete
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Ukawa wamgomea Samuel Sitta
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAJUMBE wa Kamati ya Mashauriano ya Bunge Maalumu la Katiba wamekutana jana kwa ajili ya kujadili hatima ya Bunge hilo linalotarajiwa kukutana Agosti 5, mwaka huu.
Kamati hiyo imekutana bila ya kuwepo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao pia ni wajumbe wa kamati hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao hicho,...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Wabunge wa CCM wamgomea Waziri Mkuu Pinda
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Thierry Henry ni ''Mwalimu'' ?
11 years ago
GPLHenry Joseph aitesa Simba