Yaw Berko agoma kurejea kwao
![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOatxGxLCNaqfME7*h9gKCZxZhWEMqUODFscly9RWtqn2wD3L233fqYKOijVJlwk0Z2uzzrksTuvFxJk2YchLMdO/yaw.gif?width=650)
Kipa namba moja wa Yanga, Yaw Berko. Na Martha Mboma KATIKA hali isiyo ya kawaida, kipa wa Simba, Mghana, Yaw Berko, amegoma kurejea kwao licha ya klabu hiyo kumalizana naye na kumpa kila kitu ambacho alikuwa akikihitaji baada ya msimu wa 2013-2014 kumalizika. Berko bado yupo nchini na anaendelea na maisha kama…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo92hhGdzVCTK7FFQ4BMHeIaylzaRqF4PEywLB98xJVLtFI*418w5-eLYvQL-FlOTTfdGeKKuaAm4uxnVlijJI8-/tangaaa.jpg?width=650)
Henry, Berko wamgomea Logarusic
11 years ago
Mwananchi07 Dec
Kipa Berko awatoa shaka Simba
11 years ago
Habarileo12 Feb
Mbunge agoma kujiuzulu
MBUNGE wa Bahi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omar Baduel amesema hatajiuzulu kwenye nafasi hiyo, kutokana na kuandamwa na baadhi ya madiwani kwa tuhuma za kutumia vibaya fedha za mfuko wa jimbo. Alitoa kauli hiyo juzi kwenye kikao cha baraza la madiwani la halmashauri ya Bahi.
11 years ago
Habarileo11 Jul
Magufuli agoma matuta
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesisitiza Serikali haitaweka matuta ya vizuizi vya kupunguza ajali katika barabara zote zilizoko nchini.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Sure Boy agoma penalti
10 years ago
CloudsFM18 Dec
TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU
“Leo natuhumiwa na kila mtu kwamba nimepewa pesa na Rugimalira kwamba ni za kifisadi,Jamani tuwe wa kweli kuhusu madai haya maana...
10 years ago
Mtanzania17 Jan
Ngeleja agoma kung’oka
SHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala, William Ngeleja, ameendelea kushikilia msimamo wake kutojiuzulu nafasi yake hiyo kama ilivyoelekezwa katika maazimio nane ya Bunge.
Mbali na Ngeleja, katika azimio hilo la Bunge linataka Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa, waondolewe katika nafasi zao kutokana na kufaidika na mgawo wa fedha za...
10 years ago
Vijimambo07 Mar
Kamishna TRA agoma kuhojiwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/appolo-march7-2015(1).jpg)
Naibu Kamishina Upelelezi wa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Loicy Appollo, anayedaiwa kupokea Sh. Milioni 80.8 katika sakata la Escrow, jana amegoma kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa madai ya kuwepo kwa zuio la Mahakama Kuu.
Appollo anafanya idadi ya viongozi waliokumbwa na sakata hilo na kugoma kuhojiwa kufikia watatu baada ya viongozi wengine akiwamo
Mbunge wa Bariadi Magharibi,...