Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli agoma matuta

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesisitiza Serikali haitaweka matuta ya vizuizi vya kupunguza ajali katika barabara zote zilizoko nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

‘Ni ruksa kujenga matuta barabarani’

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameagiza matuta yajengwe barabarani katika maeneo wanakoishi watu kuokoa maisha ya watu kwa kuwa madereva ni wakaidi.

 

11 years ago

GPL

YANGA YAONDOLEWA KWA MATUTA

Timu ya Yanga SC imeondolewa kwenye Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika baada ya kufungwa na Al Ahly kwa penalti 4-3 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria, Misri! Mpaka dakika ya 90 ya mchezo, matokeo ya jumla yalikuwa 1-1 hivyo kuamriwa kupigwa mikwaju ya penalti ambapo Yanga walipata 3, wakati Al Ahly wakipata 4. Wachezaji wa Yanga waliofunga penalti ni Didier Kavumbagu, Emmanuel Okwi na...

 

11 years ago

GPL

BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA

Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada ya kushinda kwa penalti 3-2 dhidi ya Chile. ...Mashabiki  Brazil wakishangiia. Wachezaji wa timu ya…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matuta yatawala robo fainali Sekondari Dar

MASHINDANO maalumu yanayozikutanisha shule 12 za sekondari za jijini Dar es Salaam yameingia nusu fainali kwa staili ya aina yake baada ya timu zote zilizotinga hatua hiyo kushinda kwa changamoto...

 

11 years ago

GPL

MATUTA YAIONDOA GLOBAL MASHINDANO YA NSSF 2014

Wachezaji wa Global Publishers na Business Times wakisalimiana kabla ya mechi kuanza mapema leo. Kikosi cha Global kilichokwaana na Business Times leo asubuhi.…

 

11 years ago

GPL

MANCHESTER UNITED YAONDOLEWA CAPITAL ONE CUP KWA MATUTA

Shangwe: Wachezaji wa Sunderland wakishangilia kutinga fainali baada ya kuwaondoa Man Utd. Majonzi: Wachezaji wa Manchester United wakiwa na nyuso za huzuni.…

 

10 years ago

GPL

WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI

Polisi wakiondoa vizuizi vilivyowekwa na wananchi barabarani.…

 

10 years ago

Michuzi

KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA


Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na  Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3. 


Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....

 

10 years ago

Michuzi

wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali

 Wananchi wakiwa wamepanga mawe na miti kuziba barabara ya Bagamoyo Road maeneo ya Kawe Bondeni jijini Dar es salaam leo ili kushinikiza kuwekewa matuta ya barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo. Hadi tunaruka hewani Jeshi la Polisi lilikuwa limeshawatawanya wananchi hao na kuondoa vizuizi hivyo baada ya kusababisha foleni ya takriban saa moja hivi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani