Mbunge agoma kujiuzulu
MBUNGE wa Bahi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Omar Baduel amesema hatajiuzulu kwenye nafasi hiyo, kutokana na kuandamwa na baadhi ya madiwani kwa tuhuma za kutumia vibaya fedha za mfuko wa jimbo. Alitoa kauli hiyo juzi kwenye kikao cha baraza la madiwani la halmashauri ya Bahi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM18 Dec
TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU
“Leo natuhumiwa na kila mtu kwamba nimepewa pesa na Rugimalira kwamba ni za kifisadi,Jamani tuwe wa kweli kuhusu madai haya maana...
10 years ago
GPL19 Dec
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l9tXnxwCAF8/U4Hu6GVziBI/AAAAAAAFk7M/eHC0yOhhczg/s72-c/images+(2).jpg)
Mzindakaya agoma kumsamehe Mbunge wa Sumbawanga Mjini...
![](http://4.bp.blogspot.com/-l9tXnxwCAF8/U4Hu6GVziBI/AAAAAAAFk7M/eHC0yOhhczg/s1600/images+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-76aMVnYlPT0/U4Hu6FM9jOI/AAAAAAAFk7Q/lYVJX2BfyX8/s1600/download.jpg)
Haya yametokea leo mchana (Jumapili, Mei 25, 2014) kwenye ibada ya kumuweka wakfu Askofu Mteule Conrad Nguvumali wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Rukwa iliyofanyika kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, mjini Sumbawanga. Mzee Mzindakaya alikataa kufanya hivyo...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Mbunge CCM atishia kujiuzulu
MBUNGE wa Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Amar (CCM), ametishia kujiuzulu ikiwa serikali haitawawajibisha watendaji wa Wizara ya Maji, na wale wa halmashauri ya wilaya hiyo wanaotuhumiwa kuhujumu mamilioni ya fedha...
11 years ago
Habarileo11 Jul
Magufuli agoma matuta
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesisitiza Serikali haitaweka matuta ya vizuizi vya kupunguza ajali katika barabara zote zilizoko nchini.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Sure Boy agoma penalti
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Mapalala agoma kupiga kura
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mwanri agoma kukagua miradi
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Aggrey Mwanri amegoma kukagua miradi mbalimbali wilayani Maswa baada ya kugundua kuwa miradi hiyo imejengwa chini ya kiwango.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Cheka agoma kuzipiga na Mrusi