Kipa Berko awatoa shaka Simba
Kipa mpya wa Simba,Yaw Berko amewatoa shaka mashabiki wa timu hiyo baada ya kusema yuko fiti kusimama langoni na kuhakikisha hakuna bao linalotinga wavuni wakati wa mchezo dhidi ya Yanga
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo na kusema kuwa kipigo walichopata kutoka kwa URA na sare dhidi ya Ndanda FC haimaanishi kuwa timu yao ni mbovu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwm1fj0xdPSt6Z28lyz3GI5H2BXU1SoN5fOIpS4uivUYB6LalC-9zMUd7mcmzdFsbEcxvL0PFJzCq3zK1bhs*JEP/KIPA.jpg?width=650)
Kipa Simba afunguka kuhusu ushoga
Kipa wa zamani wa Simba, Andrew Ntalla. Na Sweetbert Lukonge
WIKI iliyopita, kipa wa zamani wa Kagera Sugar na Simba, Andrew Ntalla alielezea mikasa aliyokutana nayo kwenye Klabu ya Simba, nyakati ngumu na ahadi hewa kutoka kwa viongozi waklabu hiyo likiwemo suala la kukosa mahali pa kuishi wakati aliahidiwa kupewa nyumba ya kuishi.
Endelea… NILIPOTOKA kwenye ile gesti ya Manzese ambayo walikuwa wamenipangia kisha...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kipa APR aziota Yanga, Simba
Kipa namba moja wa Rwanda na APR, Olivier Kwizera amesema anatamani siku moja kucheza katika Ligi Kuu Tanzania Bara na akitaka siku moja kuja kuichezea Yanga au Simba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1KFU6WTUn0TdeLiw1nhRbT0kkAHnnz1KxtXHDCMM1QMwgfnEys9CeBz50bMRxkcit5Xy6IpLqXQ-yV1xhLXAu6/YANGA.jpg?width=650)
Yanga, Simba zamwania kipa Mtibwa
Kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’. Na Hans Mloli
SIMBA na Yanga zimeingia kwenye vita moja ya usajili kwa mara nyingine baada ya kila mmoja kuhitaji huduma ya kipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’, kwa ajili ya kuvitumikia vikosi vyao kwenye msimu ujao wa ligi. Vuguvugu hilo la usajili wa kipa huyo linakuja baada ya timu zote mbili kuwa na matarajio ya kupoteza makipa wao,...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Usajili Simba shaka
Kundi maarufu la Friends Of Simba wamesimamisha zoezi la usajili la wachezaji wa klabu hiyo wakidaiwa kupima kwanza upepo.
9 years ago
Habarileo08 Nov
Kipa Simba achimba mkwara Ligi Kuu
KIPA wa kimataifa wa Simba, Vicent Angban, amesema kama ataendelea kupangwa kuidakia timu hiyo kwenye mechi za Ligi Kuu ya Tanzania bara ana uhakika wa kubeba tuzo ya kipa bora msimu huu kwa kua hajaona mshambuliaji wa kumhofia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlzDvRWJ5ZSsq*JgPr9UwLcA2Gm1MUTORrSPnqbFfWkCOAoE8GKY5McvNMrhx5Nu-1n5wHKpep7ArAi*RRru*WB/1.jpg?width=650)
Kipa Barthez asaini Simba miaka miwili
Kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’. Na Musa Mateja
SIKU moja kabla ya kuumana na Simba, Championi Ijumaa limepata taarifa za uhakika kuwa kipa wa Yanga, Ally Mustapha ‘Barthez’ amefikia makubaliano ya kuondoka klabuni hapo na sasa ataichezea Simba msimu ujao. Barthez ambaye amekuwa na wakati mgumu wa kupata nafasi kwenye kikosi cha Yanga hivi sasa, imeelezwa kuwa ameshaafikiana na Yanga kuwa...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Kerr aomba Simba apewe kipa mpya
Klabu ya Simba inahaha kusaka kipa mpya mzoefu atayesaidiana na Ivo Mapunda baada ya kocha mkuu, Dylan Kerr kubaini upungufu mkubwa katika nafasi hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo92hhGdzVCTK7FFQ4BMHeIaylzaRqF4PEywLB98xJVLtFI*418w5-eLYvQL-FlOTTfdGeKKuaAm4uxnVlijJI8-/tangaaa.jpg?width=650)
Henry, Berko wamgomea Logarusic
Na John Joseph, Tanga WACHEZAJI wakongwe wa Simba, Henry Joseph na Yaw Berko, jana walisusa kwenda kwenye vyumba baada ya kipenga cha mapumziko kupulizwa. Wachezaji hao ambao wote hawakuanza kwenye mchezo dhidi ya Mgambo ambao timu yao ililala kwa bao 1-0, waligoma kwenda kwenye vyumba kama inavyotakiwa huku wakibaki wamekaa kwenye benchi wakilalamika. Wachezaji hao walionyesha kuwa kuna hali ya mambo ambayo haiendi vizuri kwenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania