Kamishna TRA agoma kuhojiwa
Loicy Appollo, Naibu Kamishina Upelelezi wa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Naibu Kamishina Upelelezi wa Kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Loicy Appollo, anayedaiwa kupokea Sh. Milioni 80.8 katika sakata la Escrow, jana amegoma kuhojiwa na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa madai ya kuwepo kwa zuio la Mahakama Kuu.
Appollo anafanya idadi ya viongozi waliokumbwa na sakata hilo na kugoma kuhojiwa kufikia watatu baada ya viongozi wengine akiwamo
Mbunge wa Bariadi Magharibi,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Feb
Chenge agoma kuhojiwa Baraza la Maadili ya Umma.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam
Mbunge wa Bariadi Magharibi, CCM, Andrew Chenge amegoma kuhojiwa na Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma iliyomwita kwa mahojiano dhidi ya tuhuma zinazomkabili za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma, baada ya kuwasilisha hoja ya kutaka kusimamishwa kwa mahojiano hayo, kwa kuwa suala hilo liko Mahakamani.
Kwa mujibu wa Hati ya Malalamiko iliyotolewa na Sekretarieti ya Maadili ya Umma, Chenge anakabiliwa na Makosa ya...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
JK amteua Bade Kamishna Mkuu TRA
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, uteuzi huo umeanza Mei 6. Bade anachukua...
10 years ago
Habarileo21 Jan
Kamishna Mkuu TRA ‘alia’ na misamaha, ukwepaji kodi
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inaweza kukusanya kiasi cha Sh trilioni tano kwa mwaka kutoka kiasi cha Sh trilioni 3.9 za sasa kwa mwaka, endapo misamaha ya kodi na ukwepaji wa kodi utadhibitiwa.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oJAXNH4GeTo/UwNPMctwIjI/AAAAAAAFNxQ/NIIldYJfwIo/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA KAIMU KAMISHNA WA TRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oJAXNH4GeTo/UwNPMctwIjI/AAAAAAAFNxQ/NIIldYJfwIo/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YNfhhAgdgGw/UwNPMkVdWfI/AAAAAAAFNxU/57L2t5aI8SM/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais amteua Bw. Mwaseba kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Lusekelo Mwaseba (pichani) kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam, leo, Jumatano, Oktoba Mosi, 2014, na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, imesema kuwa uteuzi huo unaanza leo.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Mwaseba alikuwa Kamishna wa Uchunguzi katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K2mqGgno4ZE/VlhmpPjqKEI/AAAAAAAIIn8/FPEkOPRsyto/s72-c/45.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: RAIS MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA TRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-K2mqGgno4ZE/VlhmpPjqKEI/AAAAAAAIIn8/FPEkOPRsyto/s640/45.jpg)
Hatua hiyo imekuja baada kubaini kupitishwa kwa makontena zaidi ya 300 na kusababishia hasara Serikali ya zaidi ya shilingi bilioni 80.
Rais Magufuli pia amemteua Katibu...
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA RISHED BADE KUWA KAMISHNA MKUU WA TRA
11 years ago
MichuziRais Kikwete amteua Bwana Rished BADE kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, uteulzi huu umaanza tarehe 06 Mei, 2014. Bwana BADE anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Harry KITILYA ambaye alistaafu tarehe 14 Desemba,2013.
Kabla ya uteuzi huo, Bwana BADE alikuwa Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania tangu Septemba,2012 na baadaye kukaimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AONGOZA MAWAZIRI, KAMISHNA TRA WALIPOTEMBELEA SHULE YA WASICHANA BUNGE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aO5vz8FcUJs/XoX-_PQhr4I/AAAAAAAC83E/4Kt2jao1l7gfKNBRObdJU6Y-3_RlsCvqACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vZH8C4fYdbk/XoX-_MenScI/AAAAAAAC83A/RsqprOr-lrwsBQmZwBql05Jd_X2YHE0XQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)