Sure Boy agoma penalti
Kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ ametaka kocha wake asijisumbue kumpanga katika orodha ya watakaopiga penalti endapo Azam FC itafikia hatua hiyo dhidi ya El Merreikh ya Sudan kesho kwenye Uwanja wa Nyamirambo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bDmjSM9kXXaKt14O2o3fMCN54cdAPvvnzXmwU0ksBMIqPCUqHquUWyxqbTvhUIjGAm52VZRT84ZTF4QWhrM1BziG85bOAKTJ/1DAR2.jpg?width=650)
Du! Penalti
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Terry alilia penalti
KIEV, Urusi
BEKI wa Chelsea, Mwingereza John Terry, amedai kuwa timu yake ilinyimwa penalti katika mchezo wa juzi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) dhidi ya Dynamo Kiev ambapo timu hizo hazikufungana.
Katika mchezo huo wa kundi G uliopigwa Olympic Stadium nchini Urusi, kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas, aliangushwa ndani ya eneo la hatari na mlinzi wa Dynamo Kiev, Sergiy Rybalka, lakini mwamuzi Damir Skomina, aliamuru mchezo uendelee, jambo ambalo Terry anahisi si sahihi.
“Bado tupo vizuri,...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Penalti zawabeba Mtibwa, Polisi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6bm9*nuyxC8yV1UQCWD3sCTNVWdzV-P2HmiznAlZ5Gqs21jIG*ltZxKXqdf*w0fc3hy*Oa1bio3ex8-h2BouXtq/penalti.jpg?width=600)
Penalti za Cannavaro, mbwembwe 100%
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhe4AkdkGCX53jdqM4CtH3t-yxLRAg-95d*KqUMN1YQPTQTTxIOf5OojjuGID4hWi8WthN-MjqHYj0ZddmrTRHc-/19.jpg?width=650)
Penalti ya Ajibu yamliza Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m5DCNqwNmKbfe8PMgFpMvCgAiFELwoz4n7rcWWUuKDEhuh2rSO4BVNC868JGJ9ERi0z-Y3*zkElF2EyLCooPa-cIUE-a*5X0/penalti.jpg?width=650)
Penalti ya Kiiza yazua mazito Yanga SC
9 years ago
Habarileo24 Oct
Kamusoko, Msuva wakosa penalti tena
WACHEZAJI Thaban Kamusoko, Vicent Bossou na Simon Msuva wamekosa penalti wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R82pK8DBdCEZtH-0-aEbUCRuVMKVeJqQFT15jzPT4YxAp8f*X6umff3jdYfAF488YaOhcmAAF51b7aPAFIy8V6R/2.jpg?width=550)
Al Ahly waichambua penalti ya Cannavaro dakika 10
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Refarii aliyekataa kutoa penalti afungiwa