Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Penalti ya Kiiza yazua mazito Yanga SC

Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Hamis Kiiza. JINAMIZI la wachezaji wa Yanga kukosa penalti kisha kuandamwa limeonekana kuendelea ambapo sasa makubwa yamemkuta mshambuliaji wa timu hiyo, Hamis Kiiza baada ya kukosa penalti katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC, juzi. Kiiza, raia wa Uganda, alikosa penalti…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YANGA SC YAPIGWA 2-0 JAJA AKOSA PENALTI MOROGORO

Mchezaji wa timu ya Yanga, Mrisho Ngassa akimtoka mchezaji wa Mtibwa Sugar (Picha na maktaba). YANGA SC imeanza kwa kipigo cha mabao 2-0 Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutoka Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri, Morogoro mshambuliaji Genilson Santana ‘Jaja’ akikosa penalti. Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa, Dominick Nyamisana wa Dodoma, aliyesaidiwa na Ferdinand Chacha wa Mwanza na Milambo Tshikungu wa Mbeya,...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI

Na Baraka Mpenja
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA VS VILLA HAKUNA MBABE, MSUVA APAISHA PENALTI, MWASHYUYA, KASEKE WATAKATA



Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na SC Villa ya Uganda imemalizika kwa sare ya 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva amekosa penati waliyopata Yanga katika kipindi cha pili baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.
Acha hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao walicheza vizuri katika mechi ya leo.Uwezo waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiiza aahidi makubwa Yanga

>Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza amejiapiza kuwa atahakikisha mwaka 2014 anavaa medali nyingi kadri inavyowezekana akiwa na kikosi cha timu hiyo.

 

11 years ago

TheCitizen

Okwi, Kiiza link up with Yanga

>Young Africans’ Ugandan forwards Emmanuel Okwi and Hamis Kiiza landed in Cairo yesterday where they linked up with teammates ahead of a decisive CAF Champions League match tomorrow.

 

9 years ago

Vijimambo

Kiiza ajibu mapigo Yanga

HAMISI Kiiza jana alituma salamu kwa Yanga baada ya kuifungia Simba mabao matatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Hizo ni salamu kwa Yanga kupitia mchezaji wake huyo wa zamani kwani watani hao wa jadi Jumamosi watamenyana kwenye uwanja huo.

Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...

 

11 years ago

GPL

Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga

Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya Yanga kuondokewa na nyota wake wawili, Frank Domayo na Didier Kavumbagu waliokwenda kujiunga na Azam FC huku pia beki wake wa kulia, Mbuyu Twite akigoma kuingia mkataba mpya na klabu hiyo, wachezaji wengine wa timu hiyo ambao ni Hamisi Kiiza, Kelvin Yondani na Haruna Niyonzima wamefunguliwa mlango ya kuondoka klabuni hapo kama wanataka. Maamuzi hayo yalifikiwa juzi Jumamosi katika...

 

11 years ago

GPL

BOSI WA KIIZA AWAJIA JUU YANGA SC

Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza 'Diego '. Nicodemus Jonas
KOCHA wa zamani wa timu ya Taifa ya Uganda, ‘The Cranes’, Jackson Mayanja, amewajia juu wanachama na mashabiki wa Yanga wanaoendelea kumtupia lawama mshambuliaji wao, Hamisi Kiiza kwa kitendo cha kukosa mkwaju wa penalti kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, juzi Jumatano.… ...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yabanwa, Kiiza arejesha furaha Simba

BAO pekee lililofungwa na Hamisi Kiiza jana liliiwezesha Simba kuibuka kidedea katika mchezo dhidi ya Coastal Union uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani