Penalti ya Kiiza yazua mazito Yanga SC

Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Hamis Kiiza. JINAMIZI la wachezaji wa Yanga kukosa penalti kisha kuandamwa limeonekana kuendelea ambapo sasa makubwa yamemkuta mshambuliaji wa timu hiyo, Hamis Kiiza baada ya kukosa penalti katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC, juzi. Kiiza, raia wa Uganda, alikosa penalti…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
YANGA SC YAPIGWA 2-0 JAJA AKOSA PENALTI MOROGORO
11 years ago
Vijimambo21 Sep
YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI

MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...
10 years ago
Vijimambo
YANGA VS VILLA HAKUNA MBABE, MSUVA APAISHA PENALTI, MWASHYUYA, KASEKE WATAKATA

Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na SC Villa ya Uganda imemalizika kwa sare ya 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva amekosa penati waliyopata Yanga katika kipindi cha pili baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.

Acha hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao walicheza vizuri katika mechi ya leo.Uwezo waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Kiiza aahidi makubwa Yanga
11 years ago
TheCitizen08 Mar
Okwi, Kiiza link up with Yanga
10 years ago
Vijimambo21 Sep
Kiiza ajibu mapigo Yanga

Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...
11 years ago
GPL
Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga
11 years ago
GPL
BOSI WA KIIZA AWAJIA JUU YANGA SC
10 years ago
Habarileo29 Oct
Yanga yabanwa, Kiiza arejesha furaha Simba
BAO pekee lililofungwa na Hamisi Kiiza jana liliiwezesha Simba kuibuka kidedea katika mchezo dhidi ya Coastal Union uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu Tanzania Bara.