Okwi, Kiiza link up with Yanga
>Young Africans’ Ugandan forwards Emmanuel Okwi and Hamis Kiiza landed in Cairo yesterday where they linked up with teammates ahead of a decisive CAF Champions League match tomorrow.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOC9hl76Vo6tbT1*aEQkfTNsmZOAagUDsBQSIcl0uR3v0amJAjL*quNeFA4IiemjRhrhHJcKkvBQUcETzT-ihB5X/2.jpg?width=650)
Okwi, Kiiza watimka Yanga, uongozi wafanya maombi
Washambuliaji wa Yanga Hamis Kiiza 'Diego' na Emmanuel Okwi(kushoto). Na Sweetbert Lukonge
WACHEZAJI wawili wa Yanga, Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi, wameondoka kwenye kikosi hicho na kujiunga na timu yao ya taifa. Uganda inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Andora leo ambapo awali Yanga iliomba wachezaji wake hao wasijiunge na timu hiyo ili wajiandae kuivaa Al Ahly lakini shirikisho la Soka Uganda (Fufa) likagoma....
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Jaja awatishia Okwi, Kiiza
UJIO wa Mbrazil mwingine Geilson Santos Santana ‘Jaja’ katika kikosi cha timu ya Yanga, umewaweka katika mstari wa hatari Emmanuel Okwi na Hamis Kiiza, nyota wa kimataifa wa Uganda. Hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRniVnQN*rXSM4PkQddGo8807bBLmn8p7mzanHo8guNrqupCN5itTQDZEyjcFuZeTJWSWBs-*z8UmzkCAS3*iQPI/okwi.jpg)
Okwi, Kiiza wamfuata Maximo Dar
Mshambuliaji wa Yanga Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
WASHAMBULIAJI Emmanuel Okwi na Hamis Kiiza, wote wanatarajiwa kutua nchini ndani ya siku chache zijazo kuanza kazi na kocha mpya, Marcio Maximo, imefahamika. Habari za uhakika kutoka ndani ya Yanga, zimeeleza uongozi wa klabu hiyo umeamua kuachana na suala la kuteua nani abaki kati ya Okwi au Kiiza, badala yake suala hilo ameachiwa Maximo.
“Kwa kuwa ameachiwa...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Loga awaita Kiiza, Okwi Simba
Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema yuko tayari kumpokea mshambuliaji yeyote kutoka Yanga iwe Hamis Kiiza au Emmanuel Okwi kwani anaamini wote wanakiwango cha juu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZfO9Plfw-*0RaEHxGWb5ow2csmdaYqoYJ1oQcFOkEh7EYC1E94kvCbQQax5OqeCIA79MR--sceopAJe4qTiByE/okwi.jpg?width=650)
Emmanuel Okwi, Kiiza wachomoka kambini usiku
Emmanuel Okwi. Na Musa Mateja, Tanga
VIUNGO washambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza na Emmanuel Okwi, juzi walijikuta wakiishiwa na uvumilivu na kuamua kuondoka kambini kwao kwa muda kisha kwenda nje ya kambi kuishuhudia mechi ya Ligi Kuu ya England. Hamis…
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Okwi, Kiiza wampasua kichwa kocha Maximo
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amesema mchezaji yeyote mwenye ubinafsi hana nafasi kwenye kikosi chake, huku akishindwa kujua yupi wa kumuacha kati ya wachezaji wawili wa kimataifa.
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi
Kocha wa Mabingwa wa Soka Afrika, Al Ahly, Mohamed Youssef amesema kati ya wachezaji anaowatilia shaka na ana hofu nao katika mechi ya marudiano Jumapili itakayochezwa saa mbili kamili kwa saa za hapa nchini ni Mrisho Ngasa, Hamis Kiiza na Didier Kavumbagu.
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Kiiza aahidi makubwa Yanga
>Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza amejiapiza kuwa atahakikisha mwaka 2014 anavaa medali nyingi kadri inavyowezekana akiwa na kikosi cha timu hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania