YANGA VS VILLA HAKUNA MBABE, MSUVA APAISHA PENALTI, MWASHYUYA, KASEKE WATAKATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uXW0-78Tmug/VY7ak-tIaLI/AAAAAAABNOU/kpZKRlZQBhk/s72-c/5.jpg)
Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na SC Villa ya Uganda imemalizika kwa sare ya 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva amekosa penati waliyopata Yanga katika kipindi cha pili baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.
Acha hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao walicheza vizuri katika mechi ya leo.Uwezo waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rK5EAJelI18/VEKlrF8hEKI/AAAAAAAGrj4/EstXXgcevoc/s72-c/6.jpg)
SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE......
![](http://1.bp.blogspot.com/-rK5EAJelI18/VEKlrF8hEKI/AAAAAAAGrj4/EstXXgcevoc/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HjaA1cXktlU/VEKlb38p0RI/AAAAAAAGrfs/3ySdceCDjjo/s1600/2.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Oct
Kamusoko, Msuva wakosa penalti tena
WACHEZAJI Thaban Kamusoko, Vicent Bossou na Simon Msuva wamekosa penalti wakati wa mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania25 May
Kaseke avuna mil 88/- Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA winga wa Mbeya City, Deus Kaseke, amevuna takribani Sh milioni 88 kwenye mkataba wa miaka miwili aliousaini jana kujiunga na mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), timu ya Yanga.
Kaseke anaondoka Mbeya City kama mchezaji huru, kutokana na kumaliza mkataba ndani ya timu hiyo, ambayo haijavuna chochote kwenye usajili wa winga huyo kwenda Yanga.
Kiasi hicho cha fedha kinatokana na dau la Sh milioni 40 lililomwezesha kusaini,...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Arsenal, Spurs hakuna mbabe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JiD-IFjhl5M/XuHn6bA8iZI/AAAAAAAEHmw/UeDEqxwLvbggAa4V2OUKtUZez27mQaF-QCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AZAM NA KMC HAKUNA MBABE
Yassir Simba, Michuzi TV
Mchezo wa kupashapasha misuli kabla ya kurejea kwa ligi kuu Tanzania bara VPL June 13, 2020 baina ya waoka mikate Azam Fc dhidi ya Kino Boys KMC uliopigwa jana June 10,2020 katika dimba la Azam Complex Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam umeshuhudia Azam Fc na KMC Fc wakitoka sare ya kufunguna bao moja kwa moja
Mabao ya Sergie Tape dakika ya 54 na bao la la kusawazisha kwa upande Azam Fc dakika ya 80 ya mchezo lilofungwa na kiungo Mzanzibar Mudathir Yahya...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man U na Chelsea hakuna mbabe
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Arsenal , Liverpool hakuna mbabe
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/EPL-1.jpg?width=650)
ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE