Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZAM NA KMC HAKUNA MBABE


Yassir Simba,  Michuzi TV

Mchezo wa kupashapasha misuli kabla ya kurejea kwa ligi kuu Tanzania bara VPL June 13, 2020 baina ya waoka mikate Azam Fc dhidi ya Kino Boys KMC uliopigwa jana June 10,2020 katika dimba la Azam Complex Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam umeshuhudia Azam Fc na KMC Fc wakitoka sare ya kufunguna bao moja kwa moja

Mabao ya Sergie Tape dakika ya 54 na bao la la kusawazisha  kwa upande Azam Fc dakika ya 80 ya mchezo lilofungwa na kiungo Mzanzibar Mudathir  Yahya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE

Mshambuliaji wa timu ya Arsenal, Alexis Sanchez (katikati) akiwatoka wachezaji wa timu ya Liverpool katika Uwanja wa Emirates. Sanchez wa Arsenal akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Dejan Lovren (6) kuelekea kwenye lango la wapinzani wao hao. Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiokoa mpira wa hatari uliopigwa na Christian Benteke wa Liverpool (katikati), nyuma yake ni Nacho Monreal wa Arsenal. … ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal , Liverpool hakuna mbabe

Arsenal na Liverpool zimegawana alama moja moja katika mechi kali ya Ligi kuu ya England baada ya kushindwa kufungana.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE......

 Kiungo wa timu ya Simba,Amri Kiemba akuchuana vikali na Mshambuliaji wa timu ya Yanga,Andrey Coutinho wakati wa mtanange wa watani wa Jadi Yanga na Simba uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI. Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Geilson Santos "Jaja" akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Simba wakati wa mtanange wa watani wa Jadi Yanga na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Spurs hakuna mbabe

Arsenal wakicheza katika uwanja wao wa Emirate walikwenda sare ya kufungana bao 1-1 na klabu ya Tottenham.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U na Chelsea hakuna mbabe

Nchini England Manchester United walitoka sare ya goli 1 -1 na Vijana kutoka darajani Chelsea katika uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miamba wa jiji la Madrid hakuna mbabe

Atletico Madrid na Real Madrid zimeshindwa kufungana katika mchezo wa kwanza hatua ya robo fainali kombe la Uefa

 

9 years ago

Global Publishers

Man Utd, Chelsea hakuna mbabe

Nemanja Matic wasted the best chance of the match by firing the ball over David de Gea's goal when he had plenty of time and space

 Nemanja Matic baada ya kukosa bao la wazi kipindi cha pili. The Serbia international reacts by putting his hand on his protective mask after seeing his effort sail over the woodwork at Old Trafford  Manchester United midfielder Ander Herrera came close to scoring from close range however Thibaut Courtois dived down to his left

Mchezaji kiungo wa  Manchester United, Ander Herreram akimuangalia kipa wa Chelsea baada ya kukosa bao.

Herrera hides his face in disappointment after squandering a golden opportunity for Manchester United during the second half 

 Herrera (kushoto) na  Nemanja Matic (kulia) wakitahayari baada ya shambulio ambalo halikuzaa matunda.

Belgium international Courtois was already diving the right way when he kept out Herrera's effort with minimal fuss

Rooney failed to test Courtois earlier on in the game when it looked like the United captain was going to put his side in the lead Manchester United goalkeeper De Gea stretches out his hands to deny fellow countryman Cesar Azpilicueta during the 0-0 draw De Gea also saved from fellow countryman Pedro before getting back on to his feet to keep out Azpilicueta Manchester United captain Rooney and Kurt Zouma compete for the ball as they do battle during an aerial challenge

Chelsea attacking midfielder Willian (left) and Morgan Schneiderlin (right) stretch as they compete for the ball during a challenge

  MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 8.5; Young 7, Smalling 6, Blind 5.5 (Jones 81), Darmian 6 (Borthwick-Jackson 70, 6.5); Schneiderlin 7, Schweinsteiger 6.5; Mata 6 (Depay...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani