Arsenal , Liverpool hakuna mbabe
Arsenal na Liverpool zimegawana alama moja moja katika mechi kali ya Ligi kuu ya England baada ya kushindwa kufungana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE
Mshambuliaji wa timu ya Arsenal, Alexis Sanchez (katikati) akiwatoka wachezaji wa timu ya Liverpool katika Uwanja wa Emirates. Sanchez wa Arsenal akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Dejan Lovren (6) kuelekea kwenye lango la wapinzani wao hao. Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiokoa mpira wa hatari uliopigwa na Christian Benteke wa Liverpool (katikati), nyuma yake ni Nacho Monreal wa Arsenal. … ...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Arsenal, Spurs hakuna mbabe
Arsenal wakicheza katika uwanja wao wa Emirate walikwenda sare ya kufungana bao 1-1 na klabu ya Tottenham.
11 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man U na Chelsea hakuna mbabe
Nchini England Manchester United walitoka sare ya goli 1 -1 na Vijana kutoka darajani Chelsea katika uwanja wa Old Trafford.
11 years ago
Michuzi
SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE......


5 years ago
Michuzi
AZAM NA KMC HAKUNA MBABE
Yassir Simba, Michuzi TV
Mchezo wa kupashapasha misuli kabla ya kurejea kwa ligi kuu Tanzania bara VPL June 13, 2020 baina ya waoka mikate Azam Fc dhidi ya Kino Boys KMC uliopigwa jana June 10,2020 katika dimba la Azam Complex Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam umeshuhudia Azam Fc na KMC Fc wakitoka sare ya kufunguna bao moja kwa moja
Mabao ya Sergie Tape dakika ya 54 na bao la la kusawazisha kwa upande Azam Fc dakika ya 80 ya mchezo lilofungwa na kiungo Mzanzibar Mudathir Yahya...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Miamba wa jiji la Madrid hakuna mbabe
Atletico Madrid na Real Madrid zimeshindwa kufungana katika mchezo wa kwanza hatua ya robo fainali kombe la Uefa
10 years ago
Habarileo24 Aug
Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe
TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Man Utd, Chelsea hakuna mbabe


Mchezaji kiungo wa Manchester United, Ander Herreram akimuangalia kipa wa Chelsea baada ya kukosa bao.




Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania