ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/EPL-1.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa timu ya Arsenal, Alexis Sanchez (katikati) akiwatoka wachezaji wa timu ya Liverpool katika Uwanja wa Emirates. Sanchez wa Arsenal akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Dejan Lovren (6) kuelekea kwenye lango la wapinzani wao hao. Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiokoa mpira wa hatari uliopigwa na Christian Benteke wa Liverpool (katikati), nyuma yake ni Nacho Monreal wa Arsenal. … ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Arsenal , Liverpool hakuna mbabe
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Arsenal, Spurs hakuna mbabe
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man U na Chelsea hakuna mbabe
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rK5EAJelI18/VEKlrF8hEKI/AAAAAAAGrj4/EstXXgcevoc/s72-c/6.jpg)
SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE......
![](http://1.bp.blogspot.com/-rK5EAJelI18/VEKlrF8hEKI/AAAAAAAGrj4/EstXXgcevoc/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HjaA1cXktlU/VEKlb38p0RI/AAAAAAAGrfs/3ySdceCDjjo/s1600/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JiD-IFjhl5M/XuHn6bA8iZI/AAAAAAAEHmw/UeDEqxwLvbggAa4V2OUKtUZez27mQaF-QCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AZAM NA KMC HAKUNA MBABE
Yassir Simba, Michuzi TV
Mchezo wa kupashapasha misuli kabla ya kurejea kwa ligi kuu Tanzania bara VPL June 13, 2020 baina ya waoka mikate Azam Fc dhidi ya Kino Boys KMC uliopigwa jana June 10,2020 katika dimba la Azam Complex Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam umeshuhudia Azam Fc na KMC Fc wakitoka sare ya kufunguna bao moja kwa moja
Mabao ya Sergie Tape dakika ya 54 na bao la la kusawazisha kwa upande Azam Fc dakika ya 80 ya mchezo lilofungwa na kiungo Mzanzibar Mudathir Yahya...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Miamba wa jiji la Madrid hakuna mbabe
9 years ago
Habarileo24 Aug
Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe
TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Man Utd, Chelsea hakuna mbabe
![The Serbia international reacts by putting his hand on his protective mask after seeing his effort sail over the woodwork at Old Trafford](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/19/2FA7F22200000578-3376615-image-a-12_1451331002558.jpg)
![Manchester United midfielder Ander Herrera came close to scoring from close range however Thibaut Courtois dived down to his left](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7E79700000578-3376615-image-a-18_1451328501410.jpg)
Mchezaji kiungo wa Manchester United, Ander Herreram akimuangalia kipa wa Chelsea baada ya kukosa bao.
![Rooney failed to test Courtois earlier on in the game when it looked like the United captain was going to put his side in the lead](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/20/2FA8161700000578-3376615-image-m-56_1451333387689.jpg)
![Manchester United goalkeeper De Gea stretches out his hands to deny fellow countryman Cesar Azpilicueta during the 0-0 draw](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7DF6A00000578-3376615-image-a-11_1451328284592.jpg)
![De Gea also saved from fellow countryman Pedro before getting back on to his feet to keep out Azpilicueta](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/19/2FA7E75400000578-3376615-image-a-31_1451332315800.jpg)
![Manchester United captain Rooney and Kurt Zouma compete for the ball as they do battle during an aerial challenge](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7E51E00000578-3376615-image-a-9_1451328212862.jpg)