SIMBA NA YANGA HAKUNA MBABE......
![](http://1.bp.blogspot.com/-rK5EAJelI18/VEKlrF8hEKI/AAAAAAAGrj4/EstXXgcevoc/s72-c/6.jpg)
Kiungo wa timu ya Simba,Amri Kiemba akuchuana vikali na Mshambuliaji wa timu ya Yanga,Andrey Coutinho wakati wa mtanange wa watani wa Jadi Yanga na Simba uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Geilson Santos "Jaja" akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Simba wakati wa mtanange wa watani wa Jadi Yanga na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uXW0-78Tmug/VY7ak-tIaLI/AAAAAAABNOU/kpZKRlZQBhk/s72-c/5.jpg)
YANGA VS VILLA HAKUNA MBABE, MSUVA APAISHA PENALTI, MWASHYUYA, KASEKE WATAKATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uXW0-78Tmug/VY7ak-tIaLI/AAAAAAABNOU/kpZKRlZQBhk/s640/5.jpg)
Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na SC Villa ya Uganda imemalizika kwa sare ya 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva amekosa penati waliyopata Yanga katika kipindi cha pili baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kTTUCCt4nQs/VY7ak7IeyfI/AAAAAAABNOY/TaeFtJ9RuRM/s640/4.jpg)
Acha hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao walicheza vizuri katika mechi ya leo.Uwezo waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE
KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
‘Simba, Yanga hakuna jipya’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JiD-IFjhl5M/XuHn6bA8iZI/AAAAAAAEHmw/UeDEqxwLvbggAa4V2OUKtUZez27mQaF-QCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AZAM NA KMC HAKUNA MBABE
Yassir Simba, Michuzi TV
Mchezo wa kupashapasha misuli kabla ya kurejea kwa ligi kuu Tanzania bara VPL June 13, 2020 baina ya waoka mikate Azam Fc dhidi ya Kino Boys KMC uliopigwa jana June 10,2020 katika dimba la Azam Complex Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam umeshuhudia Azam Fc na KMC Fc wakitoka sare ya kufunguna bao moja kwa moja
Mabao ya Sergie Tape dakika ya 54 na bao la la kusawazisha kwa upande Azam Fc dakika ya 80 ya mchezo lilofungwa na kiungo Mzanzibar Mudathir Yahya...
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Arsenal , Liverpool hakuna mbabe
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/EPL-1.jpg?width=650)
ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Arsenal, Spurs hakuna mbabe
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Man U na Chelsea hakuna mbabe