Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars, Kenya hakuna mbabe

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars, jana ilitoka sare ya kufungana 1-1 na wenzao wa Kenya, Harambee Starlets, katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TAIFA STARS NA NIGERIA HAKUNA MBABE ZATOKA 0-0

Timu ya Taifa Tanzania, Taifa Stars metoka suluhu ya 0-0 na Timu ya Taifa ya Nigeria Green Eagles katika mchezo uliochezwa leo Jumamosi Sept 5, 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo ambayo matangazo yake yalinaswa na Vijimambo Blog kupitia tunein ya Radio E- FM, Taifa Stars inastahili pongezi kwa kiwango cha mpira ilichokionesha leo bila kujali ni timu gani au ukubwa wa timu waliocheza nayo.
Kutokana na matangazo ya Radio hiyo yaliyoletwa moja kwa moja kutoka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga Stars vs Zambia hakuna kiingilio

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema hakuna kiingilio katika mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC), itakayowakutanisha Twiga Stars na Zambia ‘Shepolopolo’ kwenye Uwanja wa Azam Complex...

 

9 years ago

Habarileo

Kenya kuwapa changamoto Twiga Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya wanawake, Twiga Stars Rogasian Kaijage amesema mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Kenya utawapa changamoto ya kutambua nafasi yao kwenye mashindano ya All African Games yatakayofanyika mwezi ujao.

 

9 years ago

GPL

ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE

Mshambuliaji wa timu ya Arsenal, Alexis Sanchez (katikati) akiwatoka wachezaji wa timu ya Liverpool katika Uwanja wa Emirates. Sanchez wa Arsenal akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Dejan Lovren (6) kuelekea kwenye lango la wapinzani wao hao. Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiokoa mpira wa hatari uliopigwa na Christian Benteke wa Liverpool (katikati), nyuma yake ni Nacho Monreal wa Arsenal. … ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U na Chelsea hakuna mbabe

Nchini England Manchester United walitoka sare ya goli 1 -1 na Vijana kutoka darajani Chelsea katika uwanja wa Old Trafford.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal , Liverpool hakuna mbabe

Arsenal na Liverpool zimegawana alama moja moja katika mechi kali ya Ligi kuu ya England baada ya kushindwa kufungana.

 

5 years ago

Michuzi

AZAM NA KMC HAKUNA MBABE


Yassir Simba,  Michuzi TV

Mchezo wa kupashapasha misuli kabla ya kurejea kwa ligi kuu Tanzania bara VPL June 13, 2020 baina ya waoka mikate Azam Fc dhidi ya Kino Boys KMC uliopigwa jana June 10,2020 katika dimba la Azam Complex Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam umeshuhudia Azam Fc na KMC Fc wakitoka sare ya kufunguna bao moja kwa moja

Mabao ya Sergie Tape dakika ya 54 na bao la la kusawazisha  kwa upande Azam Fc dakika ya 80 ya mchezo lilofungwa na kiungo Mzanzibar Mudathir  Yahya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Spurs hakuna mbabe

Arsenal wakicheza katika uwanja wao wa Emirate walikwenda sare ya kufungana bao 1-1 na klabu ya Tottenham.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani