Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseke avuna mil 88/- Yanga

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

ALIYEKUWA winga wa Mbeya City, Deus Kaseke, amevuna takribani Sh milioni 88 kwenye mkataba wa miaka miwili aliousaini jana kujiunga na mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), timu ya Yanga.

Kaseke anaondoka Mbeya City kama mchezaji huru, kutokana na kumaliza mkataba ndani ya timu hiyo, ambayo haijavuna chochote kwenye usajili wa winga huyo kwenda Yanga.

Kiasi hicho cha fedha kinatokana na dau la Sh milioni 40 lililomwezesha kusaini,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Yanga yaanza jalamba na wachezaji saba tu, Kaseke ndani


Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm (kulia) akifuatilia kwa karibu mazoezi ya leo
Na Dickson Masanja
Yanga imeanza rasmi mazoezi yake leo asubuhi kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Karume uliopo kwenye ofisi za TFF Ilala jijini Dar es Salaam tayari kujiandaa na michuano mbalimbali inayoikabili ikiwemo ile ya Kagame Cup, ligi kuu Tanzania bara pamoja na michuano ya klabu bingwa barani Afrika.Mazoezi hayo yameongozwa na kocha mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm akisaidiwa na kocha wa makipa Juma...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA VS VILLA HAKUNA MBABE, MSUVA APAISHA PENALTI, MWASHYUYA, KASEKE WATAKATA



Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na SC Villa ya Uganda imemalizika kwa sare ya 0-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva amekosa penati waliyopata Yanga katika kipindi cha pili baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.
Acha hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao walicheza vizuri katika mechi ya leo.Uwezo waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo...

 

11 years ago

GPL

YANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' (katikati) akipiga shuti wakati timu yake ikicheza na Rhino Rangers uwanja wa Taifa jana. Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zilizohusisha timu za Simba na Yanga na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wikiendi zimeingiza jumla ya sh. 139,850,000. Mrisho Ngassa wa Yanga (kushoto) akipiga mpira huku akizongwa na mchezaji wa Ashanti katika mechi yao uwanja wa Taifa juzi. Yanga… ...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA, ETOILE ZAINGIZA MIL 22

Mchezo no.91 wa Kombe la Shirkisho barani Afrika (CC) hatua ya 16 bora uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam, kati ya wenyeji timu ya Young Africans dhidi ya Etoile du Sahel kutoka Tunisia umeingiza jumla ya sh. 223,135,000.
Jumla ya watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa tiketi 68, VIP B tiketi  869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo wa mapato ni VAT 18% sh....

 

11 years ago

GPL

YANGA KUVUNA MIL 90 CAF

Katibu Mkuu wa Yanga Bw. Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni ya SGM Bw. Francis Goitha Klabu ya Young Africans SC imeingia mkataba wa kurusha mchezo wake wa hatua ya kwanza ya mashindano ya klabu Bingwa Afrika dhidi ya timu ya Alh Ahly ya Misri kwa gharama ya dola za kimarekani elfu 55,000 sawa na mil 90/= za kitanzania kwa muda wa dakika 90. Akiongea...

 

10 years ago

Vijimambo

MIL 96 KUTEKETEZA BATA LA YANGA


Sherehe hizo zimepangwa kufafanyika Juni 16 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam na zitaenda sambamba na utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora na uzinduzi wa kitabu cha Historia ya Yanga kilichoandikwa na Peter Ching’ole.MAMBO ya fedha bwana! Klabu ya Yanga inatarajiwa kutumia kiasi cha Sh96 milioni kwa ajili ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ilioutwaa hivi karibuni.
Sherehe hizo zimepangwa kufafanyika Juni 16 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA, YANGA ZAINGIZA MIL 436

 Mechi no.117 iliyowakutanisha Simba na Yanga katika uwanja wa Taifa, imeingiza jumla ya sh. milioni 436,756,000 kutokana na idadi ya watazamaji 49,758 waliokata tiketi kushuhudia mchezo huo.
Watazamaji 309 walikata tiketi za VIP A, 1,310 VIP B, 1,533 VIP C, Rangi ya Machungwa (Orange) 9,913 huku viti vya rangi ya bluu na kijani wakiingia watazamaji 36,693.
Mgawanyo wa mapato ya mchezo huo ni VAT 18% sh.66,623.796, FDF timu mwenyeji sh. 17,415,300, FDF TFF sh.7,463,700, Gharama za tiketi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mikataba kuikamua Yanga Sh500 mil

Klabu ya Yanga ipo hatarini kupoteza mamilioni ya fedha kama fidia kutokana na kutothamini, kutoheshimu mikataba baina yake na wadau mbalimbali wa soka ndani na nje ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamdai Kaseja Sh200 mil

 Usajili wa kipa Juma Kaseja kutoka Yanga kwenda Simba umegeuka sinema baada ya jana uongozi wa Yanga kumtaka mlinda mlango huyo alipe Sh200 milioni za kuvunja mkataba wake na klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani