Yanga yamdai Kaseja Sh200 mil
 Usajili wa kipa Juma Kaseja kutoka Yanga kwenda Simba umegeuka sinema baada ya jana uongozi wa Yanga kumtaka mlinda mlango huyo alipe Sh200 milioni za kuvunja mkataba wake na klabu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRIfPjDnSNfVEgIlXlOloN98*P4cLNw8h5qfo2ej-Dz4wyYVm4rQfwWu4XyZT9WKZwGeW8sQrIR9VmWze1LZeLb/1dar.jpg)
Yanga yamtema Kaseja rasmi, yamdai 400m
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-aPaGg6PG8Uo%2FVK63KAKkm_I%2FAAAAAAADVGg%2FKUDFaMpRG_s%2Fs1600%2FIMG_50362.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...
11 years ago
GPLYANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Kaseja atimuliwa Yanga
JUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcL*K5oiL-D7GQWMNBohUtLR1UqKJ9R*NsafJkNvXi1xu7uHsPzGxzVFpCZTbRO9UdoZVataFtHfpa9nvr*StwQU/5.jpg?width=650)
Manji amuokoa Kaseja Yanga
10 years ago
TheCitizen25 Nov
SOCCER: Kaseja here to stay, say Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu8TsQbL3L3kiTtxn4mc5GVwU9UcY*5vhhUtSELu-T7ZNKKyZkRf0t27h7jVIjKZOfgrBYdyYKJf8-VCq7xvsbhv/yanga.jpg)
Yanga yamtema Kaseja Caf
10 years ago
TheCitizen30 Nov
Kaseja skips Yanga training
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yamtupia virago Kaseja