Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yamtema Kaseja Caf

Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Mwandishi Wetu
YANGA imetuma majina 23 kwa ajili ya kikosi chao kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini imemtema kipa Juma Kaseja. Katika majina yaliyotumwa kwenye makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf), hakuna jina la Kaseja.
Caf imeipanga Yanga kuanza na BDF ya Botswana, ambayo ni timu inayomilikiwa na jeshi la ulinzi la nchi hiyo. Habari za uhakika kutoka Caf...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Yanga yamtema Kaseja rasmi, yamdai 400m

Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge, Zanzibar
YANGA imetangaza rasmi kuachana na kipa Juma Kaseja lakini Championi Ijumaa linafahamu ukweli kuwa klabu hiyo imepanga kumfungulia mashitaka ya kumtaka alipe shilingi milioni 400, kutokana na kuvunja mkataba. Akitangaza kwa waandishi wa habari jana, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo Jerry Muro alisema kuwa Kaseja ndiye aliyevunja mkataba na klabu hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kanuni za Fifa, CAF zamrudisha darasani Kaseja

Kanuni na sheria mpya zilizopitishwa na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) na lile la Afrika (CAF) zimemlazimu kipa wa zamani wa Simba, Juma Kaseja kurudi darasani ili aongeze ujuzi wa fani ya ukocha aliyoianza mwaka jana. Kaseja ambaye hajaonekana muda mrefu kwenye mechi za Ligi Kuu inayoendelea kutokana na mgogoro unaoendelea baina yake na klabu yake ya Yanga, alipata elimu yake ya awali kwenye fani hiyo mwaka jana mjini Morogoro chini ya mkufunzi Meja mstaafu Abdul Mingange.

 

10 years ago

Vijimambo

MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA







YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...

 

10 years ago

Mtanzania

Kaseja atimuliwa Yanga

kasejaJUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...

 

10 years ago

TheCitizen

Kaseja skips Yanga training

Doubts are growing whether Juma Kaseja will ever play for Young Africans again after the eagle-eyed goalkeeper missed an open training session yesterday.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Kaseja here to stay, say Yanga

>Mainland giants Young Africans have played down the prospect of goalkeeper Juma Kaseja leaving the team for their traditional foes Simba this year.

 

10 years ago

GPL

Meneja wa Kaseja kuishtaki Yanga

Kipa namba mbili wa Yanga, Juma Kaseja. Na Wilbert Molandi
MENEJA wa kipa namba mbili wa Yanga, Juma Kaseja ambaye ni Abdulfatah Saleh ameibadilikia timu hiyo kwa kupanga kuishtaki, baada ya Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu, kutamka kwamba hawamtambui. Hiyo ni siku chache tangu meneja huyo kupanga kumuondoa Kaseja kwenye usajili wa dirisha dogo baada ya Yanga kukiuka makubaliano yaliyokuwemo kwenye mkataba.Yanga ilikiuka...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamtupia virago Kaseja

Hatimaye uongozi wa Yanga umetangaza rasmi kuachana na kipa wake Juma Kaseja wakisema kuanzia sasa ni mchezaji huru. Awali kipa huyo mkongwe aliamua kuipa kisogo timu hiyo akilalamikia kutolipwa sehemu ya fedha zake za usajili pamoja na bima ya afya yake.

 

11 years ago

GPL

Manji amuokoa Kaseja Yanga

Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya uongozi wa Yanga juzi Jumanne, kuweka wazi majina ya wachezaji 11 uliowatema, imefahamika kuwa Juma Kaseja aliokolewa na mwenyekiti wa timu hiyo, Yusuf Manji. Mwenyekiti wa timu ya Yanga SC, Yusuf Manji. Imekuwa ikielezwa kuwa Kaseja hatakiwi kwenye kikosi cha Yanga kutokana na kufanya vibaya kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Awali,… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani