Yanga yamtema Kaseja Caf
![](http://api.ning.com:80/files/vanfKzplWu8TsQbL3L3kiTtxn4mc5GVwU9UcY*5vhhUtSELu-T7ZNKKyZkRf0t27h7jVIjKZOfgrBYdyYKJf8-VCq7xvsbhv/yanga.jpg)
Kipa wa Yanga Juma Kaseja. Na Mwandishi Wetu YANGA imetuma majina 23 kwa ajili ya kikosi chao kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini imemtema kipa Juma Kaseja. Katika majina yaliyotumwa kwenye makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf), hakuna jina la Kaseja. Caf imeipanga Yanga kuanza na BDF ya Botswana, ambayo ni timu inayomilikiwa na jeshi la ulinzi la nchi hiyo. Habari za uhakika kutoka Caf...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRIfPjDnSNfVEgIlXlOloN98*P4cLNw8h5qfo2ej-Dz4wyYVm4rQfwWu4XyZT9WKZwGeW8sQrIR9VmWze1LZeLb/1dar.jpg)
Yanga yamtema Kaseja rasmi, yamdai 400m
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Kanuni za Fifa, CAF zamrudisha darasani Kaseja
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-aPaGg6PG8Uo%2FVK63KAKkm_I%2FAAAAAAADVGg%2FKUDFaMpRG_s%2Fs1600%2FIMG_50362.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Kaseja atimuliwa Yanga
JUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...
10 years ago
TheCitizen30 Nov
Kaseja skips Yanga training
10 years ago
TheCitizen25 Nov
SOCCER: Kaseja here to stay, say Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtLVyPGzNTLznFSEKGiREQq4yYjq4Fk9a84DyPaX7yRClF7CvB4mAPjO3Ju4lp9m0*YpQUOFGREl4d8khcupq8z8/meneja.jpg)
Meneja wa Kaseja kuishtaki Yanga
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yamtupia virago Kaseja
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcL*K5oiL-D7GQWMNBohUtLR1UqKJ9R*NsafJkNvXi1xu7uHsPzGxzVFpCZTbRO9UdoZVataFtHfpa9nvr*StwQU/5.jpg?width=650)
Manji amuokoa Kaseja Yanga